BoT mulikeni huu wizi kwenye benki unaitwa "Processing fee"

Hofu-less

JF-Expert Member
May 19, 2014
534
1,047
Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.

Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.

So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
 
Benki za Tanzania nyingi ni wezi wanaoptata faida kwa makato badala ya biashara .Ukingalia account kenye ATM makato,Ukiweka laki lazima wabaki na elfu ishirini,themanini ndiyo ya kwako,ukiprint receipt makato.Wanafahmu Watanzania hatupo serious kwenye issues kama hizi,acha tupigwe mpaka tutakapojitambua.
 
nilitaka kutopup mkopo nichukue 1.7 baada ya deni la awali kukatwa miezi 8,nikiwa sielewi nikauliza hivi zile gharama za mkopo zitakuwepo akanambia ndio yaani ile 1.5😁😁.

kwamba nitareset deni halafu nichukuel laki 2🤣🤣🤣,nikatoka bank huku nacheka sana.
 
Kama tujuavyo kwasasa mfanyakazi anaweza kukopa online Moja kwa Moja kupitia
ESS bila kwenda bank...

Lakini Cha ajabu bado RIBA ni kubwa na Kuna BIMA ya mkopo kubwa...
Lakini tukiachana na hayo ya bima na riba bado mabenki WANAKATA PROCESSING FEE,
(gharama za mkopo, au ada ya mkopo)

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake,
Bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17
Hii gharama ya mkopo ni nini?
Ni ya nini? Kama sio wizi..

Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano
Ukikopa ml 15 nmb kwa miezi 108
Utalipa ml 26+
Utakatwa bima 1.2 m
Gharama za mkopo 300k
So katika mil 15
Utakatwa 1.5 , utapata 13.5
Then uje kulipa million 26
Huo mkopo una riba ndogo sana kama unakopa 15M, unapata 13.5 alafu utarudisha 26M kwa miezi 108.
Yaani kwa miaka 9 yote unafanya mrejesho wa mara mbili ya thamani ya sasa ya hela. Ningepata mkopo kama huu ningeukumbatia kwa nguvu zote.

Miaka 9 ijayo thamani ya TZS itakuwa imeshuka sababu ya inflation, si ajabu milioni 13.5 ya leo itakuwa sawa na milioni 20 ya 2033. Yani unipe hela leo alafu useme ndani ya miaka 9 niirudishe mara mbili yake tu, mbona kicheko kwangu.
 
Kama tujuavyo kwasasa mfanyakazi anaweza kukopa online Moja kwa Moja kupitia
ESS bila kwenda bank...

Lakini Cha ajabu bado RIBA ni kubwa na Kuna BIMA ya mkopo kubwa...
Lakini tukiachana na hayo ya bima na riba bado mabenki WANAKATA PROCESSING FEE,
(gharama za mkopo, au ada ya mkopo)

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake,
Bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17
Hii gharama ya mkopo ni nini?
Ni ya nini? Kama sio wizi..

Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano
Ukikopa ml 15 nmb kwa miezi 108
Utalipa ml 26+
Utakatwa bima 1.2 m
Gharama za mkopo 300k
So katika mil 15
Utakatwa 1.5 , utapata 13.5
Then uje kulipa million 26
Ukiona hivyo the Gavoo ipo behind the scissor😅
 
Huo mkopo una riba ndogo sana kama unakopa 15M, unapata 13.5 alafu utarudisha 26M kwa miezi 108.
Yaani kwa miaka 9 yote unafanya mrejesho wa mara mbili ya thamani ya sasa ya hela. Ningepata mkopo kama huu ningeukumbatia kwa nguvu zote.

Miaka 9 ijayo thamani ya TZS itakuwa imeshuka sababu ya inflation, si ajabu milioni 13.5 ya leo itakuwa sawa na milioni 20 ya 2033. Yani unipe hela leo alafu useme ndani ya miaka 9 niirudishe mara mbili yake tu, mbona kicheko kwangu.
Naunga mkono hoja. Mkopo una riba ndogo sana. Maranyingi watu hawaangalii muda wa mkopo. Miaka9 kwa hiyo riba ni rafiki sana.
 
Huo mkopo una riba ndogo sana kama unakopa 15M, unapata 13.5 alafu utarudisha 26M kwa miezi 108.
Yaani kwa miaka 9 yote unafanya mrejesho wa mara mbili ya thamani ya sasa ya hela. Ningepata mkopo kama huu ningeukumbatia kwa nguvu zote.

Miaka 9 ijayo thamani ya TZS itakuwa imeshuka sababu ya inflation, si ajabu milioni 13.5 ya leo itakuwa sawa na milioni 20 ya 2033. Yani unipe hela leo alafu useme ndani ya miaka 9 niirudishe mara mbili yake tu, mbona kicheko kwangu.
Vipi gharama za mkopo?
 
Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.

Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.

So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Hizi non-interest income ni nyonya damu sana.
 
Back
Top Bottom