its complicated.....
Were you ever told that taking someone's life was an easy task?
its complicated.....
Ni vigumu sana kuniamini lakini ni rahisi mno kunipinga!
Je ripoti ya madaktari pale india inasomekaje? Je mwakyembe mwenyewe anasemaje? Uhalisia wa hali yake kwa sasa ukoje? Wizara ya afya inasemaje? Serikali yake inasema? Je kila aliyelishwa sumu hufa hata akitibiwa na madaktari bingwa?
Mimi nishatoa ripoti na kwangu mimi itasimama kuwa ndio kauli na ukweli niliouona katika uchunguzi!
Mwenye ripoti ya madaktari wa india aiweke hapa!!
huyu janson angekutana na watoto wa marais vichwangumu kama uhuru kenyatta,tungeshamsahau saa hii.halafu simuoni siku hizi. ile ripot ya mwisho si ilikuwa ya Mtoto wa Pres kukamatwa na mihadarati China
Kwani wewe ndiye Jason Bourne?
Ndo huyo huyo mkuu.
Watajucheka watu
huyu janson angekutana na watoto wa marais vichwangumu kama uhuru kenyatta,tungeshamsahau saa hii.
Ndo huyo huyo mkuu.
Watajucheka watu
Huyu jamaa alikuwa my role model kwenye JF but cjui walishamng'oa meno maana kapotea cku hizi. Now JF imejaa propaganda za siasa hadi imepoteza mvuto.
Ni vigumu sana kuniamini lakini ni rahisi mno kunipinga!
Je ripoti ya madaktari pale india inasomekaje? Je mwakyembe mwenyewe anasemaje? Uhalisia wa hali yake kwa sasa ukoje? Wizara ya afya inasemaje? Serikali yake inasema? Je kila aliyelishwa sumu hufa hata akitibiwa na madaktari bingwa?
Mimi nishatoa ripoti na kwangu mimi itasimama kuwa ndio kauli na ukweli niliouona katika uchunguzi!
Mwenye ripoti ya madaktari wa india aiweke hapa!!
kuna jamaa anajiita de'levis nae sijui yuko wapi?..
Inawezekana Jason Bourne ndiyo Yeriko Nyerere na hapa ali-comment akijua kuwa amelogin kwa ID ya Jason Borne. Lakini pengine siye, kwani baada ya kuishutukia hii post angeifua.