Je, Bado Una Imani na Jason Bourne?

halafu simuoni siku hizi. ile ripot ya mwisho si ilikuwa ya Mtoto wa Pres kukamatwa na mihadarati China
 
Ni vigumu sana kuniamini lakini ni rahisi mno kunipinga!

Je ripoti ya madaktari pale india inasomekaje? Je mwakyembe mwenyewe anasemaje? Uhalisia wa hali yake kwa sasa ukoje? Wizara ya afya inasemaje? Serikali yake inasema? Je kila aliyelishwa sumu hufa hata akitibiwa na madaktari bingwa?

Mimi nishatoa ripoti na kwangu mimi itasimama kuwa ndio kauli na ukweli niliouona katika uchunguzi!

Mwenye ripoti ya madaktari wa india aiweke hapa!!

Kwani wewe ndiye Jason Bourne?
 
mi naona hata aibu kuijadili hiyo ID.niliwahi kuambiwa ni moja ya kati ya multiple IDs za member mwenzetu hapa jf.mwee!
 
Jamaa sijui kwanini hakuomba kazi kwa erick shigongo,ni mtunzi mzuri sana.
 
halafu simuoni siku hizi. ile ripot ya mwisho si ilikuwa ya Mtoto wa Pres kukamatwa na mihadarati China
huyu janson angekutana na watoto wa marais vichwangumu kama uhuru kenyatta,tungeshamsahau saa hii.
 
huyu janson angekutana na watoto wa marais vichwangumu kama uhuru kenyatta,tungeshamsahau saa hii.

Hakuna mtu aliye juu ya sheria hata awe nani? Huyu raisi mwenyewe anafata sheria sembuse mtoto wake? Kwahyo mtoto wa mfalme akitaka mini-kabaang utampa?
 
Hv mbona naona yericko wa nyerere ndio anamjibia jason bourne ....is he one and the same person
 
naona hili swali wote wanalikwepa, JB na Yericko, maana sijamsikia yeyote kati yao akifafanua.
 
Huyu jamaa alikuwa my role model kwenye JF but cjui walishamng'oa meno maana kapotea cku hizi. Now JF imejaa propaganda za siasa hadi imepoteza mvuto.
 
Ni vigumu sana kuniamini lakini ni rahisi mno kunipinga!

Je ripoti ya madaktari pale india inasomekaje? Je mwakyembe mwenyewe anasemaje? Uhalisia wa hali yake kwa sasa ukoje? Wizara ya afya inasemaje? Serikali yake inasema? Je kila aliyelishwa sumu hufa hata akitibiwa na madaktari bingwa?

Mimi nishatoa ripoti na kwangu mimi itasimama kuwa ndio kauli na ukweli niliouona katika uchunguzi!

Mwenye ripoti ya madaktari wa india aiweke hapa!!

Inawezekana Jason Bourne ndiyo Yeriko Nyerere na hapa ali-comment akijua kuwa amelogin kwa ID ya Jason Borne. Lakini pengine siye, kwani baada ya kuishutukia hii post angeifuta.
 
Inawezekana Jason Bourne ndiyo Yeriko Nyerere na hapa ali-comment akijua kuwa amelogin kwa ID ya Jason Borne. Lakini pengine siye, kwani baada ya kuishutukia hii post angeifua.

kama ulikuwa hujui jason bourne =yericko
 
Back
Top Bottom