Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Baada ya sensa kufanyika ikikabiriwa na dosari za hapa na pale kama wengine kusema hawahesabiwi na watu wengine kuhesabiwa vizuri. Sensa ya mwaka huu pia mifugo nayo kama mbuzi,kuku,bata n.k imepata nafasi ya kuhesabiwa. Naona kimya kimetanda ndiyo bado wanajumlisha au hata jumla yetu tuko wangapi pamoja na mifungo ni SIRI? Tafadhali mwenye kujua kwasasa kinachoendelea na idadi yetu km imeongezeka atujuze hapa.