Je, anayetumia ARVs kupunguza makali ya VVU akipimwa virusi vitaonekana?

Yani milokole ni mijinga mungu ameshatupa maarifa mungu anatenda miujiza kwa mambo yaliyoshindikana ila si kwa magonjwa yanayojulikana
Na ukifikia stage ya AIDS (last stage of H.I.V) ndio basi tena maana immunity ndio zisha fail kabisa hata ukijaribu kuzi boost hakuna response tena......

Yaani hapo ukivamiwa na magonjwa ya bacteria , fungus , protozoan , malignancy and other viral disease ndio basi tena parapanda inakuhusu Mkuu....
 
Nilisoma article mmoja kumbe Ulaya walikuwa na malaria pia zamani lichabya baridi. Waliwezabjuitikomeza kwa kujenga nyumba bora na kuharibu mazalia ya mbu.
Ujue I am in Germany now I have lived in Algeria too kule Kuna winter pia ila summer mbu wapo kama kawaida hata Germany summer Kuna mbu Sema ndo hao wadudu hawapo na sidhani kama malaria ilishawahi weka makazi muda mrefu ulaya contact ya kwanza ni second world War ndo hapo hapo wakapata na quinine ila kama unataka jikinga na malaria kunywa tonic or bitter lemon kwasababu ina quinine
 
Ujue I am in Germany now I have lived in Algeria too kule Kuna winter pia ila summer mbu wapo kama kawaida hata Germany summer Kuna mbu Sema ndo hao wadudu hawapo na sidhani kama malaria ilishawahi weka makazi muda mrefu ulaya contact ya kwanza ni second world War ndo hapo hapo wakapata na quinine ila kama unataka jikinga na malaria kunywa tonic or bitter lemon kwasababu ina quinine
sorry mkuu kibongobongo bitter lemon na tonic znafanaftenaje znapatkanaje hizo nazitapataje
 
Na ukifikia stage ya AIDS (last stage of H.I.V) ndio basi tena maana immunity ndio zisha fail kabisa hata ukijaribu kuzi boost hakuna response tena......

Yaani hapo ukivamiwa na magonjwa ya bacteria , fungus , protozoan , malignancy and other viral disease ndio basi tena parapanda inakuhusu Mkuu....
Aisee
 
Ndio mkuu HIV ina stage zake na hiyo AIDS ndio ya mwisho baada ya Aids related complex (ARC) na mtu akifikia harua hii hamalizi hata mwaka naye tunamuaga......

Stages za HIV ni kama ifuatavyo;

1. Acute HIV infection
2. Asymptomatic or latent infection
3. Persistence generalized lymphadenopathy (PGL)

So ni muhimu kuzingatia dawa ili kuishi maisha marefu....
 
Mzigo huu hapa laki nne tu unaflush antigen yoyote ndan ya damu
IMG-20231209-WA0000.jpg
 
Dawa ipo ni laki nne tu kupona uhakika kama huyu ndio kwanza week tu dawa imeanza kufanya kazi baada ya mwez akilima hamna kirus vyote vimetoka


Kaz kubwa ya makohoz ni kukusanya bacteria au virus na kutoruhusu waendelee kukushambulia kwa ufupi ni kaz ya makohoz ni kuulinda mwili makohoz ni sehem ya kinga ya mwili

0712505049
InCollage_20231218_093118255.jpg
 
Back
Top Bottom