bakarikazinja
Senior Member
- Nov 9, 2009
- 177
- 8
Nilimkuta akilia huku kichwa amekiweka juu ya meza na mikono miwili imeshika kichwani mithili ya mtu aliyekata tamaa nilimsogelea karibu na kumuuliza yaliyo msibu akanijibu baba yake anataka kuoa mke mwingine na ule ulikuwa ni mwezi wa tato toka mama yake mlezi afariki kwa hasira huku akitweta alinijibu haiwezekani baba hao mwanamke mwingine wala kamwe sitakubali hili wazo lake kwani sasa naona anataka kunitia kwenye chungu cha moto na kunipalia makaa kisha akaniuliza kwani wewe siunajua mama wakambo si mama nikamwambia subiri nitakupa jibu lako ndio nikakimbilia wana jamvi mnishauri ni mwambie nini maskini rafiki yangu huyu kwani mimi sina uzoefu na hili swala//