Watu inabid tusitume tena maombi ya kazi.Mkuu kutangwazwa ajira ni kubabaisha watu tu, walishachagua watu wao kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app
👏👏👏👏👏👏 Umeona mbali mkuu🙉🙉😭😭Siyo Msukuma wala Kada. Tabu tunayopata wakosa Ajira God knows. Umri unaenda ngoja nikavamie Njia za watembea Kwa Miguu Ubungo niweke kibada cha kukaanga Mihogo.