Jay Z Producer bora wa wakati wote

Mtoa mada ni Best story writer 🔥🔥..
Nimemubali kiufupi na

Wakati nasoma sikujua kama nitaikuta Super Bowl half time show 😁 maana hawa legendaries waliileta black excellence kwa stage like Never before.

Kama una documentaries za music au entertainment pia, unaweza share suggestion nikatiririka nazo. salute
Yan ilikuwa hivi...Jay ndio alo arrange wale wasanii kuimba pale cause Roc Nation wana contract na NFL kwenye ku-produce Super Bowl LIV halftime show. This is how Jay got the deal, kuna mwaka Jay aliambiwa aende akapafom run this town ila lazima aende na Ye na Riri Jay akawagomea akakataa masharti ya kitoto akawaambia ni kama wanadharau hip hop wakati ndio imedominate, ndio kumtafuta mwaka huu kumpa deal, wazungu wapuuz sana Super Bowl LIV halftime show mara nying huwa inapigwa na marock band miziki ya watu weupe sababu wanaamini ni mchezo wa watu weupe ila sasa kinachokuja kuwavuruga ni kwamba SB ina timu 32 ambazo timu 28 zote makocha wazungu na hizo timu 30 zote zinamilikiwa na wazungu kasoro timu mbili tu ila cha kushangaza zaid ya 70% ya players ni people of color...
 
STILL D.R.E - Ufundi wa Mikono ya Jay Z unaoishi tangu 1999 mpaka leo

#UZI

Tar. 13 Feb 2022 ilifanyika fainali ya American Football maarufu km Super Bowl kati ya Los Angeles Rams na Cincinnati Bengals.. Goma lilipigwa viwanja vya SoFi Stadium, Inglewood California.

Kwenye ile fainali kuna show inaitwa 'Super Bowl Half Time Show'

Mwaka huu ile show ilipigwa na wakali wa Hip Hop mainly kutoka West Side..

Kulikuwa na Dr. Dre, Snoop Dogg, Eminem, 50 Cent, Kendrick Lamar na Mary J. Blige.

Wakali kibao walikuwepo uwanjani, kina Meek Millz, Busta, Luda, Lebron na wengine kibao

Kanye pia alikuwepo uwanjani akiwa na mtoto wake North

Ye akili yake anaijua mwenyewe, ila alionekana aki-vibe na mdundo wa still D.R.E baada ya kina Snoop kuanza kukiwasha pale ndichi,

Wakati Snoop anapanda Dr. Dre alikaa kwenye Piano pale jukwaani, baadaye akachukua kipaza na likapigwa dude la 'Still D.R.E'

Uwanja mzima ukazizima kwa shangwe za hatari

Sasa moja ya vitu vilivyovuta macho ya watu, ni uwepo wa Jay Z na mkewe Beyonce pale uwanjani. Km hiyo haitoshi, wakati 'Still D.R.E' inapigwa kamera zikamnasa Jay Z akiimba neno kwa neno.. mkewe Be naye akifuatisha

Walikuwa VVIP km kawa (ki-CEO yaani)

Kitu unachohitaji kufahamu hapa ni kwamba ule mdundo wote uliandikwa na Jay Z tena kwa dakika 20 tuh..

Twende taratibu

Dec. 15 mwaka 1992 Dr. Dre alitoa album yake ya kwanza kwa jina 'The Chronic'

Hii ilikuwa album ya kwanza baada ya Dre kujitoa kundini N.W.A

Album ilikuwa na mafanikio ya kutosha ikifika namba 3 kwenye Billboard 200.. imeshakula platnum 3 (3 million units sold)

Baada ya ile kazi ambayo ilisimamiwa na label aliyoanzisha yeye na Suge Knight, yaani Death Row rec. kwa kushirikiana Interscope(km distributor), Dre aka-chill kidogo

1996 akajitoa Death Row na kuanzisha label yake mwenyewe yaani Aftermath Records..

Baada ya kuanzisha Aftermath Dre akaanza kutafuta gia ya kuondokea sasa (take off)

Akaanza kuandaa album yake ya pili kwa ajili ya kui-push presence ya record label yake mpya

Ukizingatia mafanikio makubwa ya 'The Chronic' Dre hakutaka kufanya kitoto.

Dre akaamua kutafuta manguli wa kuchora mistari mikali ya levo ya 'bazenga' km yeye

Kumbuka hiki ndo kipindi Jay Z alikuwa on fire kinoma baada ya kutoa 'Reasonable Doubt'

Japo Jay amekaa ki-East Coast ila hiyo haikumsumbua Dre.

Kutoka Santa Monica California yaliko makao makuu ya studio za Aftermath Records mpaka New York City katikati ya jimbo la New York yalipokuwa makao makuu ya Roc-A-Fela records ni takribani km 4516

Dre akampigia simu Jay, akamuomba amchoree ngoma kwa jina Still D.R.E,

Mwanetu Jay Z km kawaida kaweka punch za hatari zinazosifia ma-Bentley, ma-Diamonds and like staffs

Jay akadaka private jet iliyolipiwa na Dre kutoka New York mpaka Santa Monica, Los Angeles California kupeleka verse zake.

Jay anatua Los Angeles na moja kwa moja kwenda studio za Aftermath

Studioni anamkuta Snoop, Scott Storch na bazenga mwenyewe Dr. Dre

Snoop yuko kona moja akiwa high na mjani mkononi

Scott yuko kwenye machine anatengeneza beats

Dre yuko jikoni anatengeneza sandwich.

Scott anamwita Dre 'Oya Bazenga, huyu kijana wa New York amefika'

Dre anaitikia 'Poa, nakuja'

Snoop yeye yuko mbingu ya saba hata haelewi kitu, mineli imempanda kichwani

Dre anakuja na bila kupoteza muda Jay anachomoa karatasi kutoka kwenye 'black diary' yake na kumkabidhi, Ndio karatasi yenye verse zote, ya Dre na ya Snoop...

Dre anaiangalia akirejea jikoni chumba cha tatu kutoka studio..

Mpaka anafika jikoni hajaona cha maana kwenye zile lines..

Anamwita Jay na kumwambia 'hamna kitu humu dogo, haya ni mambo yenu ya New York sio Compton'.

Jay akachukua ile karatasi akaichana vipande vipande na kuitia kwenye waste bin ya pale studio

Akasogea kwenye kona moja ndani ya studio, akafungua daftari yake akatoa paper, akaketi, akavuta hoodie yake akafunika kichwa dizaini ile ya Konde boy, akakohoa kidogo ile koh koh koh.

Baada ya dk 20 na ushee hivi akanyanyuka kishujaa km Tyson Fury na kumkabidhi Dre ile karatasi

Dre akaketi kwa dk km 5 hivi, akanyanyuka akampa mkono Jay akisema 'wewe ndie Hov, umeua'

Siku ile ile Scott Storch akaanza kuinyongea ile ngoma beat yake kali,
Nov. 2 mwaka 1999 Still D.R.E ikaachiwa ikiwa km lead single kutoka kwenye album ya pili ya Dr. Dre kwa jina '2001' iliyoachiwa nov. 16 mwaka 1999 chini ya Aftermath Records

Baada ya show ya super bowl juzi, Still Dre imefikisha 1B views YouTube

Give Jay Z his flowers.
Apana bana hov haandiki verse zakee ata siku moja
 
STILL D.R.E - Ufundi wa Mikono ya Jay Z unaoishi tangu 1999 mpaka leo

#UZI

Tar. 13 Feb 2022 ilifanyika fainali ya American Football maarufu km Super Bowl kati ya Los Angeles Rams na Cincinnati Bengals.. Goma lilipigwa viwanja vya SoFi Stadium, Inglewood California.

Kwenye ile fainali kuna show inaitwa 'Super Bowl Half Time Show'

Mwaka huu ile show ilipigwa na wakali wa Hip Hop mainly kutoka West Side..

Kulikuwa na Dr. Dre, Snoop Dogg, Eminem, 50 Cent, Kendrick Lamar na Mary J. Blige.

Wakali kibao walikuwepo uwanjani, kina Meek Millz, Busta, Luda, Lebron na wengine kibao

Kanye pia alikuwepo uwanjani akiwa na mtoto wake North

Ye akili yake anaijua mwenyewe, ila alionekana aki-vibe na mdundo wa still D.R.E baada ya kina Snoop kuanza kukiwasha pale ndichi,

Wakati Snoop anapanda Dr. Dre alikaa kwenye Piano pale jukwaani, baadaye akachukua kipaza na likapigwa dude la 'Still D.R.E'

Uwanja mzima ukazizima kwa shangwe za hatari

Sasa moja ya vitu vilivyovuta macho ya watu, ni uwepo wa Jay Z na mkewe Beyonce pale uwanjani. Km hiyo haitoshi, wakati 'Still D.R.E' inapigwa kamera zikamnasa Jay Z akiimba neno kwa neno.. mkewe Be naye akifuatisha

Walikuwa VVIP km kawa (ki-CEO yaani)

Kitu unachohitaji kufahamu hapa ni kwamba ule mdundo wote uliandikwa na Jay Z tena kwa dakika 20 tuh..

Twende taratibu

Dec. 15 mwaka 1992 Dr. Dre alitoa album yake ya kwanza kwa jina 'The Chronic'

Hii ilikuwa album ya kwanza baada ya Dre kujitoa kundini N.W.A

Album ilikuwa na mafanikio ya kutosha ikifika namba 3 kwenye Billboard 200.. imeshakula platnum 3 (3 million units sold)

Baada ya ile kazi ambayo ilisimamiwa na label aliyoanzisha yeye na Suge Knight, yaani Death Row rec. kwa kushirikiana Interscope(km distributor), Dre aka-chill kidogo

1996 akajitoa Death Row na kuanzisha label yake mwenyewe yaani Aftermath Records..

Baada ya kuanzisha Aftermath Dre akaanza kutafuta gia ya kuondokea sasa (take off)

Akaanza kuandaa album yake ya pili kwa ajili ya kui-push presence ya record label yake mpya

Ukizingatia mafanikio makubwa ya 'The Chronic' Dre hakutaka kufanya kitoto.

Dre akaamua kutafuta manguli wa kuchora mistari mikali ya levo ya 'bazenga' km yeye

Kumbuka hiki ndo kipindi Jay Z alikuwa on fire kinoma baada ya kutoa 'Reasonable Doubt'

Japo Jay amekaa ki-East Coast ila hiyo haikumsumbua Dre.

Kutoka Santa Monica California yaliko makao makuu ya studio za Aftermath Records mpaka New York City katikati ya jimbo la New York yalipokuwa makao makuu ya Roc-A-Fela records ni takribani km 4516

Dre akampigia simu Jay, akamuomba amchoree ngoma kwa jina Still D.R.E,

Mwanetu Jay Z km kawaida kaweka punch za hatari zinazosifia ma-Bentley, ma-Diamonds and like staffs

Jay akadaka private jet iliyolipiwa na Dre kutoka New York mpaka Santa Monica, Los Angeles California kupeleka verse zake.

Jay anatua Los Angeles na moja kwa moja kwenda studio za Aftermath

Studioni anamkuta Snoop, Scott Storch na bazenga mwenyewe Dr. Dre

Snoop yuko kona moja akiwa high na mjani mkononi

Scott yuko kwenye machine anatengeneza beats

Dre yuko jikoni anatengeneza sandwich.

Scott anamwita Dre 'Oya Bazenga, huyu kijana wa New York amefika'

Dre anaitikia 'Poa, nakuja'

Snoop yeye yuko mbingu ya saba hata haelewi kitu, mineli imempanda kichwani

Dre anakuja na bila kupoteza muda Jay anachomoa karatasi kutoka kwenye 'black diary' yake na kumkabidhi, Ndio karatasi yenye verse zote, ya Dre na ya Snoop...

Dre anaiangalia akirejea jikoni chumba cha tatu kutoka studio..

Mpaka anafika jikoni hajaona cha maana kwenye zile lines..

Anamwita Jay na kumwambia 'hamna kitu humu dogo, haya ni mambo yenu ya New York sio Compton'.

Jay akachukua ile karatasi akaichana vipande vipande na kuitia kwenye waste bin ya pale studio

Akasogea kwenye kona moja ndani ya studio, akafungua daftari yake akatoa paper, akaketi, akavuta hoodie yake akafunika kichwa dizaini ile ya Konde boy, akakohoa kidogo ile koh koh koh.

Baada ya dk 20 na ushee hivi akanyanyuka kishujaa km Tyson Fury na kumkabidhi Dre ile karatasi

Dre akaketi kwa dk km 5 hivi, akanyanyuka akampa mkono Jay akisema 'wewe ndie Hov, umeua'

Siku ile ile Scott Storch akaanza kuinyongea ile ngoma beat yake kali,
Nov. 2 mwaka 1999 Still D.R.E ikaachiwa ikiwa km lead single kutoka kwenye album ya pili ya Dr. Dre kwa jina '2001' iliyoachiwa nov. 16 mwaka 1999 chini ya Aftermath Records

Baada ya show ya super bowl juzi, Still Dre imefikisha 1B views YouTube

Give Jay Z his flowers.
Siku nyingine mkuu ukiwa unatuma nyuzi ndefu kama hizi uwe unasindikizia na kapicha,mana sisi wengine huku village hatumjui huyo Jay-z...
 
Hip hop ya Marekani kuanzia 93 mpka 2010 walipiga mwingi sana ila hip hop hii ya kina Lil pump sijui lil Uzi vert na yule dogo shoga anaelala na mtoto wa will Smith asee naonaga hadi kinyaa kusikiliza ngoma zao zikipigwaga naondoka kabisa maeneo hayo au nazima redio
 
Is pious pious because God loves pious
Socrates asks whose bias do you'll seek
All for Plato screech,


Watch the throne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom