meshackabra
Member
- Sep 28, 2012
- 31
- 4
da ina ashilia kwa hizo koments tofaut jay inabidi asikie kilio cha wa2 wake popote alipo
combination ya hatari kwenye" family" bonge la dudeHapa Juma Mchopanga pale Msafiri Kondo a.k.a Traveller...
umeongea jema sana. ushaifikiria hiyo colabo couzin? colabo zitakuja tu sema kuna michakato haijakaa sawa ili hamis akuburusishe na ngoma kali feat mandojo na domokaya inaitwa kama zamani. hamis atattisha hata akienda kaburini. baba ubaya wambie mabinti kuwa binamu yao yupo mjini!Mi naamini wasanii wetu wangekuwaa na mshikamano, umoja na upendo isiingekuwa shida kwa wasanii wakogwe kusikika, the only thing ninachokiona ni kuwapo kwa gap kubwa mno kati ya wasanii walio kwenye chart sasa na wale waliovuma zamani mfano Jaymo!
Lkn hili gap linatokaana na wasani walovuma zamani kutokukubali kazi za wasanii wanaovuma sasa, naamini kuwa Jaymoe akishirkiana na msanii anayeimba (sio kuchana) kama ommy dimpoz, Diamond, Ben Paul, vanessa Mdee, walter hata master bro na wengine wa aina hy wote wanaweza kuwa tite kwenye game na wakafanikiwa kwa maana ya kuuza sana muziki huo wa corabo, the only thing mdudu anaewamaliza baadhi ya wasanii wetu ni ubinafsi!
Binafsi napennda sana muziki na nam-feel sana Jaymo hasa akifanya featuring na mwanamuziki anayeimba R&B gerne!
Naamini kama kuna wakati wasanii wataacha roho ya ubinafsi na kuwa na uwezo wa kupembua mambo wataweza shirikiana na hatimaye wote ufanikiwa!
Kwa kuanza Binamu yangu (mwanaFA) fanya feat na Vanessa Mdee, aisee i wish nisikie hiyo track coz itabamba sana, is like naisikia sasa masikioni wangu!
umeongea jema sana. ushaifikiria hiyo colabo couzin? colabo zitakuja tu sema kuna michakato haijakaa sawa ili hamis akuburudisishe na ngoma kali feat mandojo na domokaya inaitwa kama zamani. hamis atatisha hata akienda kaburini. baba ubaya wambie mabinti kuwa binamu yao yupo mjini!
Kama unaubongo mdogo lazima umdis Fid Q huku J.moe mwenyewe anamkubali Fid. Ni jambo la kumshukuru Mungu Fid na J.moe wako Bongo hawa jamaa wanajua
Nilifikiri ni mimi tu ninayependa hip hop ya bongo ya miaka ya mwanzoni, kumbe tuko wengi.Jamaa anauwezo sana ila hana bahati...nikikumbuka ngoma zake...eti kisa mtoto wa mama wananiita bishoo, kuna hii ya kimyakimya...ndio maana nikitaka kusikiliza bongo fleva ni za zamani tu.!!!