Jay Moe, rudi kwenye gemu!

Mi naamini wasanii wetu wangekuwaa na mshikamano, umoja na upendo isiingekuwa shida kwa wasanii wakogwe kusikika, the only thing ninachokiona ni kuwapo kwa gap kubwa mno kati ya wasanii walio kwenye chart sasa na wale waliovuma zamani mfano Jaymo!

Lkn hili gap linatokaana na wasani walovuma zamani kutokukubali kazi za wasanii wanaovuma sasa, naamini kuwa Jaymoe akishirkiana na msanii anayeimba (sio kuchana) kama ommy dimpoz, Diamond, Ben Paul, vanessa Mdee, walter hata master bro na wengine wa aina hy wote wanaweza kuwa tite kwenye game na wakafanikiwa kwa maana ya kuuza sana muziki huo wa corabo, the only thing mdudu anaewamaliza baadhi ya wasanii wetu ni ubinafsi!

Binafsi napennda sana muziki na nam-feel sana Jaymo hasa akifanya featuring na mwanamuziki anayeimba R&B gerne!
Naamini kama kuna wakati wasanii wataacha roho ya ubinafsi na kuwa na uwezo wa kupembua mambo wataweza shirikiana na hatimaye wote ufanikiwa!

Kwa kuanza Binamu yangu (mwanaFA) fanya feat na Vanessa Mdee, aisee i wish nisikie hiyo track coz itabamba sana, is like naisikia sasa masikioni wangu!
umeongea jema sana. ushaifikiria hiyo colabo couzin? colabo zitakuja tu sema kuna michakato haijakaa sawa ili hamis akuburusishe na ngoma kali feat mandojo na domokaya inaitwa kama zamani. hamis atattisha hata akienda kaburini. baba ubaya wambie mabinti kuwa binamu yao yupo mjini!
 
umeongea jema sana. ushaifikiria hiyo colabo couzin? colabo zitakuja tu sema kuna michakato haijakaa sawa ili hamis akuburudisishe na ngoma kali feat mandojo na domokaya inaitwa kama zamani. hamis atatisha hata akienda kaburini. baba ubaya wambie mabinti kuwa binamu yao yupo mjini!

Great to hear, Najua wewe ndiye FA, thats good, kama ushaanza kufanya ngoma na watu mandojo ka domo kaya ni vema, sikumbuki sana kama hujawahi kufanya nae, but kwa vyovyote nawakubali sana wale jamaa Mandojo na Domo kaya hata hivyo kuchanganya na kizazi hiki cha sasa cha kina Platinumz please let mmoja wao awepo kwenye hiyo ngoma najua kwa sababu the main objective is business, basi mtafikia malengo kwa sababu mtakuwa mgegusa wale wa old skul yaani mashabiki wa akina Jaymo, East coast team, langa, dudu etc na new skul kwa maana ya mashabiki wa kina ben paul, lina, Ommy dimpoz etc!

Naamini wewe umekwenda shule so ifike wakati wasanii wapate matunda ya shule ya msanii mwenzao japo kwa % chache!!
 
mimi khamis sikuelewi mpaka ulete radha zile za zamani zile za tuliza boli, alikufa kwa ngoma, ungeniambia, dirisha la misuko suko (sina hakika kama inaitwa hivyo maana nimeutafuta sana huu wimbo umekosa), hawajui halafu kuna ile kitu ilinifanya nimsome sana makochali inaitwa binamu, khamis uliua na ile beat ilikuwa hot.
Namiss radha hizo za kitambo kwangu siku hizi naona kama umeanza pwaya coz umebadilika.
 
Game kweli inabadilika yaani wale mashabiki wa jay moe leo ndo wanakimbiza katika game!...hizi takataka sijui roma,chid benz,izzo wote ni mashabiki wa jay moe!...kaka yao mwanaFA alishakiri hadharani atamuomba Jay Moe amtungie wimbo miaka hiyo hii ni baada ya kuandamwa na kashfa ya kuiba idea ya mwenye mji wa mzizima Jay Moe,wimbo wa Mabinti na kukimbilia studio kwa bonny luv!...
 
Kama unaubongo mdogo lazima umdis Fid Q huku J.moe mwenyewe anamkubali Fid. Ni jambo la kumshukuru Mungu Fid na J.moe wako Bongo hawa jamaa wanajua

Mkuu upo sahihi sana tu.. Fareed inahitaji utulize ubongo kumuelewa, mara nyingi huwa napenda nimsikilize nikiwa sana stress. Ukisikiliza hp hop tuliza kichwa sio kama taarabu.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Jamaa anauwezo sana ila hana bahati...nikikumbuka ngoma zake...eti kisa mtoto wa mama wananiita bishoo, kuna hii ya kimyakimya...ndio maana nikitaka kusikiliza bongo fleva ni za zamani tu.!!!
Nilifikiri ni mimi tu ninayependa hip hop ya bongo ya miaka ya mwanzoni, kumbe tuko wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom