Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Shikamooni wanawake, hakika tumeshindwa namna gani tutafanya ili kuishi nanyi kwa akili
Nilimtongoza huyu mwanamke pasi na kujua. Ili nimpate haraka nikaingilia gia ya kutaka kumuoa. Akaamua kunifungukia ukweli kuwa alikwisha olewa na ana watoto wawili ambao kawatelekeza kwa baba yao kutokana na misunderstanding za hapa na pale walizokuwa nazo
Hakuwa na hiyana. Tukaingia kwenye mahusiano uchwara. Kama kawaida yangu, huwa napenda sana kufahamu mazungumzo ya watu ninaokuwa nao kwa mahusiano, kutokana na kuwa huwa ananiachia uhuru kwenye simu yake, nikaamua ku auto record calls. Siku ya jana nimeshinda na simu yake nikisikiliza mazungumzo yake ya hapa na pale mpaka pale nilipokutana na call akiwasiliana na mpenzi wake mwingine huku wakimshambulia huyo boya mwenye watoto kwa kebehi na dharau za hapa na pale, huku wakiulizana maendeleo ya mtoto wao mmoja
Kwa hiyo mwamba uko ulipo unalea watoto wawili, mmoja sio wako
Lengo sio kuleta umbea,
Lengo ni kuonesha ni kwa jinsi gani hivi viumbe tumeshindwa kuishi navyo kwa akili
Nilimtongoza huyu mwanamke pasi na kujua. Ili nimpate haraka nikaingilia gia ya kutaka kumuoa. Akaamua kunifungukia ukweli kuwa alikwisha olewa na ana watoto wawili ambao kawatelekeza kwa baba yao kutokana na misunderstanding za hapa na pale walizokuwa nazo
Hakuwa na hiyana. Tukaingia kwenye mahusiano uchwara. Kama kawaida yangu, huwa napenda sana kufahamu mazungumzo ya watu ninaokuwa nao kwa mahusiano, kutokana na kuwa huwa ananiachia uhuru kwenye simu yake, nikaamua ku auto record calls. Siku ya jana nimeshinda na simu yake nikisikiliza mazungumzo yake ya hapa na pale mpaka pale nilipokutana na call akiwasiliana na mpenzi wake mwingine huku wakimshambulia huyo boya mwenye watoto kwa kebehi na dharau za hapa na pale, huku wakiulizana maendeleo ya mtoto wao mmoja
Kwa hiyo mwamba uko ulipo unalea watoto wawili, mmoja sio wako
Lengo sio kuleta umbea,
Lengo ni kuonesha ni kwa jinsi gani hivi viumbe tumeshindwa kuishi navyo kwa akili