PARADIGM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2014
- 2,774
- 1,815
Niliwaza hili tangu juzi kuwa akija Tanzania hakuna figisu figisu zitatokea??!! Japo najua maraisi wengi Africa huchagua wakuu wa majeshi vibaraka wao!!!
Lakini pia huenda hii ni janja ya Nkurunziza kuondoka madarakani baada ya kupata aibu huku wapinzani washindwe kutwaa dola kwa njia ya kura huku jeshi likiwa na watu wake!!
Bado mapema kulijua hili. Muda ndio jibu.