Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Una ushahidi gani kama hizo habari za kesi ni za kweli?. Huko whatsapp wamejaa kila aina ya watu kuanzia matapeli mpaka watakatifu.Hata smartphone sio sawa na kiswaswandu, lakini kwa kutumia Smartphone mtu hawezi kufanyia uhalifu??!!--- pick up your senses, DP world ametapakaa sehemu nyingi duniani katika shughuli za bandari lakini yeye ndiye anayeongoza kuwa na kesi nyingi kuhusiana ni migogoro ya mikataba.