Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Nimashangazwa sana na msimamo wa Janauary Makamba kunga'ng'ania kuendelea na mkataka feki wa Dowans, ambao kwa kiasi kikubwa umeleta tafrani katika nchi yetu. Sijui kama na yeye anatekeleza malengo ya mafisadi kama yule Makamba mwingine anavyofanya.
Hivi uelewa wa January kuhusu tatizo la umeme umeishia kwenye mitambo ya Dowans?! kwa nini hiyo energy ya kufikiri asiitumie kutafuta permanent solution, kwa mfano, ya kuwa na mitambo yetu wenyewe ambayo bei yake haitakuwa inflated kama ilivyofanywa hii ya Richmond / Dowans ili kupandisha unit price ya umeme na capacity charge ili kuwanyonya watanzania?
January usiijiingize kichwa kichwa kwenye ufisadi huu wa Richmond / Dowans na ubunge usikuvimbishe kichwa hadi kutaka kupasuka.
Hivi uelewa wa January kuhusu tatizo la umeme umeishia kwenye mitambo ya Dowans?! kwa nini hiyo energy ya kufikiri asiitumie kutafuta permanent solution, kwa mfano, ya kuwa na mitambo yetu wenyewe ambayo bei yake haitakuwa inflated kama ilivyofanywa hii ya Richmond / Dowans ili kupandisha unit price ya umeme na capacity charge ili kuwanyonya watanzania?
January usiijiingize kichwa kichwa kwenye ufisadi huu wa Richmond / Dowans na ubunge usikuvimbishe kichwa hadi kutaka kupasuka.