Kule popatral, ndio huyo huyoMakamba Jr ndio yule aliyeiba mitihani ya Necta?
Kule popatral, ndio huyo huyoMakamba Jr ndio yule aliyeiba mitihani ya Necta?
Makamba anachokifanya ni "manipulation" through social engineering kwa wananchi kwa kutumia media. Amejitahidi Sana kuunda mtandao wa vijana mitandaoni wa kusifia kila anachokifanya, Ili awalaghai wananchi , ili baadaye aweze kutimiza ndoto zake.Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Wewe kijana January ana uwezo gani? Hawa wapo pale kwa mgongo wa baba yake and worse still he can not deliver to the expectation of the manyWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
HahahahaWe ni mufilisi
Yeah mkuu mama anaupiga mwingi sana mkuu! Nunua na kaboksi ka mishumaa kabisa mkuu...Twende na mama mpaka 2035Siku ya 3 sasa hatuna umeme,
genereta linamaliziwa matengenezo kwa fundi, maana naona hii hali ni ya kudumu ss
Ni Januari mwenyewe na anajibeba kimwenyewemwenyewe 🤣😂🤣😂Poa tuu kupiga debe nayo ni ajira, hope umelipwa vizuri
Siyo kwa Makamba mchumia tumbo
Wewe ndiyo kweli umetoka juzi burundi.Hata huyo Assad mbona mnasahau upes hujuma aliyofanya NSSF akiwa Mjumbe wa bodi na mwenyekiti w AUDIT committee; walifanya uwekezaji chefu chefu mwingi hivyo kupoteza fedha zilizowekezwa hadi shirika kuwa mufilisi, licha ya yeye kujiuzia nyumba ya shirika hilo hilo kinyume na taratibu!!! Usafi wake uko wapi hadi mnampamba namna hiyo?
Bahati mnaya sana wangezaliwa japo KenyaWatu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.
Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.
Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Bora fisadi kuliko lile genge la wahuni lilifisadi pamoja na kuua watuWewe genius umetoka wapi hii nchi iliyojaa vilaza? Ndugu yangu sikukebehi ila nakuambia kweli. Huyu lengo lake ni kumpigia Makamba debe kama unavyosema. Infact Makamba ameshaanza rasmi kampeni na atafisadi sana ili kupata fedha za kuhonga. Tusishangae iwapo hapa kutakuwa na nyuzi za kumsifia kila baada ya lisaa limoja. TV na Redio karibu zote zitaanza kuimba nyimbo za kumsifia. Anautafuta urais kwa nguvu zote na hii ni hatari mno.
vilaza hamwezi kuelewaMjinga Sana nikajua andiko la maana, Nono kabisa
Akachomekea Lissu na Prof AssadMuanzisha uzi alijua kabisa kuwa kama angeanzisha uzi wa kumsifia Makamba directly usingepata wachangiaji.