January Makamba, Lissu, Mbowe na Profesa Assad kwa akili walizonazo hawakupaswa kuzaliwa Tanzania

Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Hata nyumbu wana kiongozi wao wanayemuona ana akili sana
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.

Ni kweli kama mama yako alibakwa na kichaa , na ukamjua baba yako ni yule kichaa wa pale ubungo mataa...lazima hao uwaone miungu kwako

Acha ujinga wa kuhusudu watu hivyo
 
Naona mama kamkaribisha adui yake nyumbani kwake.
Pia inawezekana lao ni moja. Asipogombea 2025 anaweza kutumia mbinu kumpitisha. Mimi hata hili la mama kusema 2025 ni zamu ya wanawake nalichukulia kwa tahadhari sana. Anaweza kuwa anapoteza watu watu maboya tu.
 
Kuna wengine umewaweka apo ili kupata supoti ya kumsifia ulie msifia.....! Bata awezi kuzaa na kuku...

Tuambie uyo JR amefanya lipi la msingi njii hii.....! Mwambie kwanza amalizie bwawa letu
Alichofanya team ya ushindi ya wanakijani🏃
 
Pia inawezekana lao ni moja. Asipogombea 2025 anaweza kutumia mbinu kumpitisha. Mimi hata hili la mama kusema 2025 ni zamu ya wanawake nalichukulia kwa tahadhari sana. Anaweza kuwa anapoteza watu watu maboya tu.
Hatakiwi kuongoza kwa uoga maana tayari yeye ndiye kinara
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Nilifungua nikijua unajipigia debe makamba mwenyewe sema hao Kama wa kusindikiza ili asionekane Kama unajifagilia mwenyewe
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Hata hivo Makamba hakuzaliwa TZ, alizaliwa Marekani.
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
watu wengi hawaelewi kuwa January alishawahi kufanya kazi au intenship ofisi ya rais wa marekani, Jimmy carter. yupo vizuri upstairs.
 
Watu hawa wana uwezo mkubwa sana wa kifikra mpk nikawaza walizaliwa kimakosa hapa Tanzania. Hawa kwa akili walizo nazo ni ngumu sana kufanikiwa wanachokiamini.

Nieleze kwa uchache sana kuhusu Makamba Jr. Huyu nilimpima uwezo wake wa kiakili wakati akizinduakkk kampeni za kuomba ridhaa (kura za maoni) ya kugombea urais mwaka 2015 ndanj ya chama chake.

Alitoa hotuba yenye mvuto, mpangilio na iliyosheheni mipango na inayotekelezeka. Hotuba yenye hadhi ua mtu anayefaa kuwa rais. Since then till now I admire Makamba Jr. Poop.
Unaweza kuwa na Hoja nzuri,Lakini huko ni kudhalilisha Utaifa wako_wetu
 
Sijaelewa mkuu yaani January makamba anakaa meza moja na Prof Assad, lisu zito nk?
 
Back
Top Bottom