January Makamba: CCM ni 'progressive party'

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Katibu wa Mambo ya Nje ya Sekreatariet ya CCM Mh January Makama amesema kuwa "CCM ni 'progressive party', hivyo lazima kirudi katika msingi wake ambao ni kuleta maendeleo ya jamii kwa kuisimamia serikali ili itumie rasilimali zilizopo kwa faida ya Watanzania wote". Soma zaidi: Makamba: CCM inarudi kwenye msingi.

Lakini baada ya kuiweka hii Facebook, watu wamemchachafya almost kama walivyofanya kwa Mh. Nape Mnauye na Dk Hamis Kigwangala kwenye status zao wiki iliyopita. Zile comments, nilizokuwa naziona mwaka jana "Go Makamba!", "I trust You!" "You can do it!", etc, hazionekani. Hawa vijana wana kazi kubwa mbeleni.

"Wenye akili tukajua" - Mwalimu Nyerere
 
Katibu wa Mambo ya Nje ya Sekreatariet ya CCM Mh January Makama amesema kuwa "CCM ni 'progressive party', hivyo lazima kirudi katika msingi wake ambao ni kuleta maendeleo ya jamii kwa kuisimamia serikali ili itumie rasilimali zilizopo kwa faida ya Watanzania wote". Soma zaidi: Makamba: CCM inarudi kwenye msingi.

Lakini baada ya kuiweka hii Facebook, watu wamemchachafya almost kama walivyofanya kwa Mh. Nape Mnauye na Dk Hamis Kigwangala kwenye status zao wiki iliyopita. Zile comments, nilizokuwa naziona mwaka jana "Go Makamba!", "I trust You!" "You can do it!", etc, hazionekani. Hawa vijana wana kazi kubwa mbeleni.

"Wenye akili tukajua" - Mwalimu Nyerere

Hivi january makamba anaweza hata kueleza hiyo sera ya mambo ya nje ya chama chake. Kwanza CCM wanayo sera ya kueleweka . Au everyone who has ever worked at MOFA basi anapachikwa tu.
 
Back
Top Bottom