Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
I agree mkuu!
Hebu tufanye mkakati tunyakue ile bustani iliypo mbele ya karemjee hall/nyuma ya former southern sun!, pale si panafaa sana kupageuza pombe place! Nyama choma ya twiga, siku hizi si tunakamata twiga tunavyotaka?
hapa ni break point - biya, soccer na makikao ya harusi.
<br />
Hebu tufanye mkakati tunyakue ile bustani iliypo mbele ya karemjee hall/nyuma ya former southern sun!, pale si panafaa sana kupageuza pombe place! Nyama choma ya twiga, siku hizi si tunakamata twiga tunavyotaka?
hapa ni break point - biya, soccer na makikao ya harusi.
<br />you are right mkuu<br />
<br />
lakini kwenye zama za kila kingunge kulamba open space, what do u expect??<br />
<br />
BTW, bia wapi aisee.. nimepigwa nne bila na spurs nahitaji bia
<br />