Hali ya obesity kwa watoto kwa kweli ni mbaya, hasa watoto wa mijini. Lakini pia kama taifa hatulioni hilo kama ni tatizo ili kuweza kuchukua initiatives. But siku si nyingi tunaweza kujikuta tupo busy kutibu magonjwa na madhara yatokanayo na obesity. So far in my strugle to write about obesity sijaona studies zozote zinazohusu obesity zilizofanyika Tanzania.Jamani!!! hii hali ya Obesity hapa Tanzania serekali yetu wanaliona na wanaelewa athari zake na harama zake?huhitaji
Rocket Science kuliona hilo.humjuwi nani mja mzito kati ya wananchi si wanaume si wanawake na wala sio watoto hali inatishia.
Jamani!!! hii hali ya Obesity hapa Tanzania serekali yetu wanaliona na wanaelewa athari zake na harama zake?huhitaji
Rocket Science kuliona hilo.humjuwi nani mja mzito kati ya wananchi si wanaume si wanawake na wala sio watoto hali inatishia.
usivumishe! taifa lina njaa kama nini!!~Hali ya obesity kwa watoto kwa kweli ni mbaya, hasa watoto wa mijini. Lakini pia kama taifa hatulioni hilo kama ni tatizo ili kuweza kuchukua initiatives. But siku si nyingi tunaweza kujikuta tupo busy kutibu magonjwa na madhara yatokanayo na obesity. So far in my strugle to write about obesity sijaona studies zozote zinazohusu obesity zilizofanyika Tanzania.
watoto wa mijini bwana, huko vijijini ni kweli underweight ni serious problem kuliko overweight but kwa mijini, overweight ndo tatizo kubwa.usivumishe! taifa lina njaa kama nini!!~
mjini wapi? manzese? kijitonyama?, magomeni?, kunduchi mtongani?, kariakoo?, nenda MNH makuti kaone ule utapia mlo alafu utowe taarifawatoto wa mijini bwana, huko vijijini ni kweli underweight ni serious problem kuliko overweight but kwa mijini, overweight ndo tatizo kubwa.
Unajuwa, madaktari ni watu wazuri sana, sema tatizo lao kubwa ni wamefundishwa 'kukariri' na si kuuliza 'kwanini'?. Kweli kama unaenda hospitalini halafu unamkuta anayetaka kukutibu naye anaumwa, haileti picha nzuri.Mnaionea tu Serikali. Wewe mtu kuwa mnene kupita kiasi au kuwa na mitambi hujui madhara yake. Tena cha kushangaza hata madaktari wengine wana matatizo hayo
Unajuwa, madaktari ni watu wazuri sana, sema tatizo lao kubwa ni wamefundishwa 'kukariri' na si kuuliza 'kwanini'?. Kweli kama unaenda hospitalini halafu unamkuta anayetaka kukutibu naye anaumwa, haileti picha nzuri.
Kwa sasa watu wengi hawajuwi kuwa unene au uzito kupita kiasi ni magonjwa pia!!!, mbaya zaidi namna watu wanavyoelekezwa jinsi za kudhibiti hali hii haiendani na ukweli wa kisayansi.
Lakini nini hasa husababisha uzito na unene kupita kiasi?, bonyeza link hii ukajifunze namna rahisi za kudhibiti hali hiyo bila gharama yeyote: uzito na unene kupita kiasi | maajabu ya maji
mmenipa moyo mi ninayeitwa mfupa na ngozi kisa sio mnene
Anachokisema Lukolo chaweza kuwa na kaukweli kidogo; kuna article nimeiona kuhusu obesity kwa watoto Tanzania ni kama inaonyesha kwamba mjini hali si nzuri sana. Labda jaribu kusoma hapa: Prevalence of Overweight and Obesity Among Primary School Children in Tanzania: Experiences from Kinondoni and Njombe Districts by Ayoub Kafyulilo, Fidelis Mafumiko :: SSRNmjini wapi? manzese? kijitonyama?, magomeni?, kunduchi mtongani?, kariakoo?, nenda MNH makuti kaone ule utapia mlo alafu utowe taarifa
data alizoweka katika article hiyo sioni tofauti na magaezeti ya ulaya. na asilimia ALIYOWEKA PIA NI KUBWA. ila sawa kama kaona ni kweli. kuandika data lazima siku zote pia tuangalie population. kama anaongelea dar sawa, kama ni mikoa yote mijini data na za uongo.Anachokisema Lukolo chaweza kuwa na kaukweli kidogo; kuna article nimeiona kuhusu obesity kwa watoto Tanzania ni kama inaonyesha kwamba mjini hali si nzuri sana. Labda jaribu kusoma hapa: Prevalence of Overweight and Obesity Among Primary School Children in Tanzania: Experiences from Kinondoni and Njombe Districts by Ayoub Kafyulilo, Fidelis Mafumiko :: SSRN
Anachokisema Lukolo chaweza kuwa na kaukweli kidogo; kuna article nimeiona kuhusu obesity kwa watoto Tanzania ni kama inaonyesha kwamba mjini hali si nzuri sana. Labda jaribu kusoma hapa: Prevalence of Overweight and Obesity Among Primary School Children in Tanzania: Experiences from Kinondoni and Njombe Districts by Ayoub Kafyulilo, Fidelis Mafumiko :: SSRN