Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
Jamani!!! hii hali ya Obesity hapa Tanzania serekali yetu wanaliona na wanaelewa athari zake na harama zake?huhitaji
Rocket Science kuliona hilo.humjuwi nani mja mzito kati ya wananchi si wanaume si wanawake na wala sio watoto hali inatishia.
hapo kwenye red ndo huwa pananifanya nikose hamu ya kula kabisa.