Janga la Obesity limepiga hodi Tanzania .

Jamani!!! hii hali ya Obesity hapa Tanzania serekali yetu wanaliona na wanaelewa athari zake na harama zake?huhitaji

Rocket Science kuliona hilo.humjuwi nani mja mzito kati ya wananchi si wanaume si wanawake na wala sio watoto hali inatishia.

hapo kwenye red ndo huwa pananifanya nikose hamu ya kula kabisa.
 
Unajua kuna ka-ushamba fulani ambako watu wengi tena wa kada zote yani wasomi na wasio wasomi wanakaamini kuwa kitambi au unene au kufuga minyama uzembe ni sign ya kuonyesha kuwa mambo yako ni safi,kinachoniudhi mimi zaidi ni mtu anapolisha mtoto(overfeed) ili iwe ni kiashirio kuwa mzazi mambo yake yamenyooka wakati anasahau kuwa anamsababishia madhara makubwa baadaye.


sasa uwakute wapo kwenye matembezi ya wikiendi utachoka. baba, mama na watoto wote vitambi hivyo wanahemea juu juu tu. aaagh tubadilike jamani...
 
Back
Top Bottom