Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
Mchango wa JamiiForums watambulika bungeni, Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba asema anaipongeza JamiiForums kwa kuweza kufanya uratibu wa mchakato wa mazungumzo yahusuyo mambo ya digitali.
Aidha amempongeza Maxence Melo Mkurugenzi wa JamiiForums kwa kuwakusanya Wadau wa kiditali ili waweze kujadili na Serikali kuhusu masuala mbalimbali ya kidigitali.
Aidha amempongeza Maxence Melo Mkurugenzi wa JamiiForums kwa kuwakusanya Wadau wa kiditali ili waweze kujadili na Serikali kuhusu masuala mbalimbali ya kidigitali.