srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,023
- 3,583
Ni huyu aliyekuwa na birthday majuziClouds Radio yupo mmoja ana Duka la Nguo japo haonyeshi ila naye ni Hao hao
Ni huyu aliyekuwa na birthday majuziClouds Radio yupo mmoja ana Duka la Nguo japo haonyeshi ila naye ni Hao hao
Kale ka Shaba Ranks!!Hivi kale kabinti kalikokuwa kametoboa pua kalienda wapi?
Duuu toa ujinga wako hapa.. Harris ni mlokole na anafamilia yakeHarris Kapinga jamaa ukimsikiliza huwez amin kama ni gasho.... Kumbe ni bonge la gasho
NdioNi huyu aliyekuwa na birthday majuzi
We daud wewe huogopi sheria za mtandao?Harris Kapinga jamaa ukimsikiliza huwez amin kama ni gasho.... Kumbe ni bonge la gasho
Mtu uhisiwe mwizi jambazi na hata jangiri sawa ila kuhisiwa unapakatwa duh parefu hapo!
Nimetumia njia ya mkato ndugu ila hata ulivyoandika ni sawa sababu Inawezekana wengine hawakuelewa.Kupakatwa siyo kosa kosa ni kupakatwa na mwanaume mwenzio!
Tutamuondoa na Makonda DAR
kampe dada yako upate uthibitisho zaidiClouds Radio yupo mmoja ana Duka la Nguo japo haonyeshi ila naye ni Hao hao
Duuu toa ujinga wako hapa.. Harris ni mlokole na anafamilia yake
Naweza nisiwe sahihi..
Juzi kati hapa nikiwa napitia nyuzi kwenye Jukwaa hili la Celebrities ambalo ni mahsusi kwa ajili ya habari za watu maarufu, nilikutana na uzi huu - Huyu mtangazaji kipindi cha Nirvana jamani? ambao ni wa mwezi May mwaka huu (mjadala ulioendelezwa hadi mwezi Juni/Julai 2016).
Ndani ya huo mjadala, wachangiaji walifunguka vya kutosha namna wanavyomuona mtangazaji huyu mwenye manjonjo na wengi walionesha kumtilia shaka 'usalama wake'..
Pengine, narudia pengine, uzi huo ulimfikia mlengwa na kum-frustrate sana kwani siku chache zijazo zikaja taarifa za ghafla kwamba jamaa ameamua 'kustaafu' kufanya kipindi hicho na leo (Jumanne Julai 19, 2016) anafanya show ya kuagwa na kumtambulisha mtangazaji mpya..
Kama niwazacho ni sahihi, basi ni sahihi kusema JamiiForums imemtumbua huyu jamaa wa Fashoooooon!
Kwa wasiomfahamu Deogratious Kithama (mkali wa fashoooon);
View attachment 367730
Moja ya kazi zake za hivi karibuni;
#Ndukiiiii
Hata mimi najiuliza iweje Wanaume ndo wako mstari wa mbele kuwapinga mashoga ilhali mashoga wanafanya mapenzi ya jinsia moja yaani na wanaume wenzao. Hao wa kufanya nao wanatoka sayari nyingine??nachojiuliza hivi kwanini wakina dada hawapingi ushoga wanaona kama kitu cha kawaida katika jamii zetu
Weweee... Hao wanaume wanaokula wanaume wenzao wanaitwa mashoga pia.. Ndio tunaowashangaa..Hata mimi najiuliza iweje Wanaume ndo wako mstari wa mbele kuwapinga mashoga ilhali mashoga wanafanya mapenzi ya jinsia moja yaani na wanaume wenzao. Hao wa kufanya nao wanatoka sayari nyingine??
Nasikia harufu ya Unafiki!!
Kwahiyo hapo na wewe uneamini ni kweli?Dah Mungu atulinde na vizazi vyetu vijavyo maana hali ngumu sasa
Acha kuamini malapulapu ya humu jf mtu akiwa na bif za kijinga anamwita mtu shoga ukiuliza ushahidi anasema ni maneno yanazungumzwa.DAH Mimi nimeduwa sina la kusema Kapiga? ¿¿¿¿¿ Hili kundi lishakuwa kubwa pia ni ngumu kupambana nalo
Lakini mashoga wanaopingwa hapa ni wale wanaojiweka kike, wanaoakisi vitabia vya kike. Mtu anasema "dume zima unageuzwa na mwanaume mwenzio?" . Yule anaegeuzwa anaonekana tu Shababi. Wengine hata huwaambia wenzao "Jipendekeze ntakuoa/ ntaku***" kama vile kufanya hicho kitendo ukiwa ndo unamgeuza mwenzio makes it any different. Ni unafki umewatawala tu wanaume. Yani hata hili ambalo mnafanyiana wenyewe kwa wenyewe mnataka kumtupia lawama mwanamke?Weweee... Hao wanaume wanaokula wanaume wenzao wanaitwa mashoga pia.. Ndio tunaowashangaa..
Ndio maana si kawaida kwa watu wa aina hiyo kuwa 'washkaji' na wanaume straight..
Yaani mimi nikisikia mshkaji wangu anatafuna shoga namchana na akishindwa kuacha namkwepa na ujamaa unaishia hapo.. Hana ishu!
Umeelewa?