Naomba mnipokee katikaJamii forum ili niweze kujiunga katika kubadilishana mawazo na kutumia jamii forum kama jukwaa langu la kutolea kile ninachoamini kuwa kitachangia katika kuijenga Tanzania na jamii yake na hata Afrika Mashariki kwa ujumula wake.....
Sikiliza, kwenda zako huko!
Upokelewa kwani wewe nani?
NTUNYO? bora ingekuwa Ntuni? tungejuwa ni Msingapore (Mnyaturu), lakini Ntunyo? au ndio Wahanya Ntuni?
Sikiliza, kwenda zako huko!
Upokelewa kwani wewe nani?
NTUNYO? bora ingekuwa Ntuni? tungejuwa ni Msingapore (Mnyaturu), lakini Ntunyo? au ndio Wahanya Ntuni?
Sikiliza, kwenda zako huko!
Upokelewa kwani wewe nani?
NTUNYO? bora ingekuwa Ntuni? tungejuwa ni Msingapore (Mnyaturu), lakini Ntunyo? au ndio Wahanya Ntuni?
Hiyo signature yako imeficha mengi! Kweli system iko kazini, lakini kazi gani hiyo?System At Work
Sikiliza, kwenda zako huko!
Upokelewa kwani wewe nani?
NTUNYO? bora ingekuwa Ntuni? tungejuwa ni Msingapore (Mnyaturu), lakini Ntunyo? au ndio Wahanya Ntuni?
mwambie mkuu, maana naona amekurupuka tu!Why all this????????????Mi nadhani hii ni Member Intro Forum, yeye ameomba kupokelewa kama wewe hukuona yeye si mtu anayestahili kupokelewa ungem-PM au kuwaandika ma MOD stating all the valid reasons why you think he/she doesnt deserve a welcome. Sio kutuchafulia forum na kuanika your lack of wisdom.Kweli ukubwa wa pua si wingi wa kamasi, yaani wewe tangu 2007 umekua humu lakini hujakua kimawazo, hujastaarabika au hata kujapunguza ujinga wako by an inch. Your just a loser... a big one...Huwa nafatilia sana posts zako... sometimes I think your trying too hard to be singled out, or to look different, and in the process you end up exposing how stupid and irrelevant you can get. just quit, that wont work, hio haikua post iliyohitaji maoni yako...it was an introduction, u needed to say ur welcome OR shut up.NTUNYO nwaego ur welcome...feel at home. Huyu mjinga aliyebother kutumia keyboard yake kukujibu anamaanisha kapenda hilo jina...waweza mwachia kama vipi, Somo ambalo nakuachia: Humu jamvini kuna kila aina ya watu even time wasters wapo...kama huyo so most times just ignore them until the need arises.zombaKWASABABU UPO KARIAKOO WHETHER UKO KIJIWENI AU UNADUKA UNAONA NDO UKO MBINGUNI...HIZO NI DALILI ZA KIPOFU KUONA MWEZI... THIS IS WHEN EDUCATION BECOMES VERY NECESSARY. AND FYI, AM WATCHING YOU.
karibu mkuu, hapa umefika kiumbe wewe, kwa mikono yote i tell karibu feel at homeNaomba mnipokee katikaJamii forum ili niweze kujiunga katika kubadilishana mawazo na kutumia jamii forum kama jukwaa langu la kutolea kile ninachoamini kuwa kitachangia katika kuijenga Tanzania na jamii yake na hata Afrika Mashariki kwa ujumula wake.....