Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,739
Wachina ndio wanaweza kwenda afrika na kuishi sawa na waliopo hapo.
Najaribu kutafuta historia ya hapa tanzania kipindi cha ujenzi wa reli waliishia wapi.
Kwa kenya karne ya nyuma wachina waliofika hapo wameacha vizazi.
Hata historia ya kilwa inadaiwa wachina walifika na kufanya biashara.
Najaribu kutafuta historia ya hapa tanzania kipindi cha ujenzi wa reli waliishia wapi.
Kwa kenya karne ya nyuma wachina waliofika hapo wameacha vizazi.
Hata historia ya kilwa inadaiwa wachina walifika na kufanya biashara.