Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,940
- Thread starter
- #41
Wana jeshi na bankHuu muungano uje ufe tu hakuna faida yoyote.
Msukuma hawezi miliki ardhi Znz
Mzanzibar anawez miliki ardhi pale Shinyanga.
Mnaona jinsi gani huu Muungano ni wa kishoga.
Juzi hapo walikataza baadhi ya mazao kupeleka kule vitu vikaoza bandarini.
Mzenji hana SARAFU, hana Bank, hana JESHI.
Sent using Jamii Forums mobile app