Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

Huu muungano uje ufe tu hakuna faida yoyote.

Msukuma hawezi miliki ardhi Znz
Mzanzibar anawez miliki ardhi pale Shinyanga.

Mnaona jinsi gani huu Muungano ni wa kishoga.

Juzi hapo walikataza baadhi ya mazao kupeleka kule vitu vikaoza bandarini.

Mzenji hana SARAFU, hana Bank, hana JESHI.
Wana jeshi na bank

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uisilamu unapigwa sana vita nduguyangu, lakini pamoja na haya yote hawatafanikiwa,
Mshana anatoa hoja kwamba kuna baadhi ya vitu zanzibar inajiamulia kama nchi na ina serikali yake lkn Tanganyika haina!! Yaan Tanganyika inategemea serikali ya Muungano. Ndio maana akatoa na mifano ya baadhi ya mamlaka mfn TRA(ZRA), TPA(ZPA) etc. Sasa wew wapi umeona anapiga vita dini ya uislam????
 
Na kwanini hoja nyingi za kuudai uhalali wa muungano au Tanganyika huru huja sana kipindi ambacho ama rais atakuwa ni muislamu au ni kutoka zanzibar??
Kuna kitu waislam mmekuja nacho sio kizuri kabsa. Sasa ivi kiongozi mweny kusadikika ana imani ya kiislam akikosolewa kdg tu ata kama kweli kakosea nyie hamuoni kosa lake mnakuja na milio mingi kusema kisa ni Muislm dah acheni hii tabia italeta hatari kubwa sana.
 
Kuna kitu waislam mmekuja nacho sio kizuri kabsa. Sasa ivi kiongozi mweny kusadikika ana imani ya kiislam akikosolewa kdg tu ata kama kweli kakosea nyie hamuoni kosa lake mnakuja na milio mingi kusema kisa ni Muislm dah acheni hii tabia italeta hatari kubwa sana.
Msikilize huyu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Serikali huru ya Tanganyika (hii iko wapi?)
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kuna umuhimu mkubwa kuanza kuuhoji muungano huu. Kuna kitu kilikosewa ama kilisahauliwa kwa makusudi na kamwe hakijawahi kuhojiwa popote!

Kwanza lazima tukubaliane hakuna uhuru wa Tanzania bali kuna uhuru wa Tanganyika.. Maana tuliungana tayari Tanganyika ikiwa huru

Baada ya muungano/muunganiko wa mataifa haya mawili nchi huru ya Tanganyika na nchi huru ya Zanzibar kukazaliwa taifa liitwalo TANZANIA.. Kwa maana ya kwamba serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zilikufa rasmi na kuundwa serikali moja ya Tanzania iko wapi hii?

Hili kosa kubwa na la wazi ndio linatusumbua mpaka leo hii
Baada ya muungano wa haya mataifa mawili, taifa la Zanzibar likabaki na utambulisho wake kama taifa, lakini taifa la Tanganyika likaukana utambulisho wake asilia

Kwa taifa la Zanzibar kubaki na utambulisho wake kama taifa kukawapa nguvu ya kuunda serikali yao inayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kwa kuukana utambulisho wake asilia kama taifa, serikali ya Tanganyika ikakosa nguvu ya kuunda serikali yake ambayo ingeitwa serikali huru ya Tanganyika

Kilichotokea ninini sasa badala ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika kukawa na serikali ya jamhuri ya Tanzania ambayo kwayo ni sehemu ya muungano..
Serikali ndio chombo cha kiutawala kinachoendesha nchi

Zanzibar ana faida mbili tayari ndani ya muungano
1. Utambulisho wake upo
2. Ana serikali yake
Kwa hiyo linapokuja swala la kuamua mambo yake ya ndani kiutawala.. Zanzibar ina chombo chake huru cha kufanya hivyo. Na linapokuja swala la kuamua mambo ya muungano ipo serikali ya Jamhuri ya muungano

Hapo ndipo Tanganyika alipopigwa bao la kisigino kwenye huu muungano.. Ndio maana leo hii watu wa Zanzibar wanaweza kuvuka maji na kuja kuwa viongozi Tanganyika kwa kofia ya muungano lakini mtanganyika kamwe hawezi kuvuka maji na kwenda kuwa kiongozi kule!

Muungano ni mzuri, kuungana kuna faida nyingi, USA ni muungano wa majimbo, UAE ni muungano wamajimbo pia.. Tunaziona faida za kuungana.. Lakini ni lazima uwe ni muunganiko wenye mizania sawa..
Suala la dpw litutoe sasa kwenye hii ganzi tuliyopigwa itutoke tuwe na mwanzo mpya sasa hasa kwenye huu muungano. Tungekuwa na utambulisho wetu wa Tanganyika ina maana tungekuwa na serikali yetu huru na hili suala la bandari lisingeamuliwa na serikali ya Muungano na kutufikisha hapa tulipofikia

Tuurejee mkataba wa muungano upya! Utambulisho wa Tanganyika uwepo ili tupate nguvu ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika... Tukiliacha tena hili...TUTAHUKUMIWA NA WAKATI

Sent using Jamii Forums mobile app

umeongea mengi sana. mchawi ni CCM
 
Sidhani kama suala la bandari linachochewa na hisia za udini. Angehusianisha na Utanganyika angeeleweka, lakini udini, ametoka nje ya mstari kabisa.

Mbona kuna Waislamu wengi tu wasiokubaliana na huo mkataba? Hivi Profesa Shivji si Muislamu?

Kwa hapo, Shehe kakosea sana. Pengine naye anatumiwa na Wanasiasa.
 
Sidhani kama suala la bandari linachochewa na hisia za udini. Angehusianisha na Utanganyika angeeleweka, lakini udini, ametoka nje ya mstari kabisa.

Mbona kuna Waislamu wengi tunwasiokubaliana na huo mkataba? Hivi Profesa Shivji si Muislamu?

Kwa hapo, Shehe kakosea sana. Pengine naye anatumiwa na Wanasiasa.
Kwa hapo, Shehe kakosea sana. Pengine naye anatumiwa na Wanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu aiepushe Tanganyika na vita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania Serikali huru ya Tanganyika (hii iko wapi?)
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kuna umuhimu mkubwa kuanza kuuhoji muungano huu. Kuna kitu kilikosewa ama kilisahauliwa kwa makusudi na kamwe hakijawahi kuhojiwa popote!

Kwanza lazima tukubaliane hakuna uhuru wa Tanzania bali kuna uhuru wa Tanganyika.. Maana tuliungana tayari Tanganyika ikiwa huru

Baada ya muungano/muunganiko wa mataifa haya mawili nchi huru ya Tanganyika na nchi huru ya Zanzibar kukazaliwa taifa liitwalo TANZANIA.. Kwa maana ya kwamba serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zilikufa rasmi na kuundwa serikali moja ya Tanzania iko wapi hii?

Hili kosa kubwa na la wazi ndio linatusumbua mpaka leo hii
Baada ya muungano wa haya mataifa mawili, taifa la Zanzibar likabaki na utambulisho wake kama taifa, lakini taifa la Tanganyika likaukana utambulisho wake asilia

Kwa taifa la Zanzibar kubaki na utambulisho wake kama taifa kukawapa nguvu ya kuunda serikali yao inayojulikana kama Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kwa kuukana utambulisho wake asilia kama taifa, serikali ya Tanganyika ikakosa nguvu ya kuunda serikali yake ambayo ingeitwa serikali huru ya Tanganyika

Kilichotokea ninini sasa badala ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika kukawa na serikali ya jamhuri ya Tanzania ambayo kwayo ni sehemu ya muungano..
Serikali ndio chombo cha kiutawala kinachoendesha nchi

Zanzibar ana faida mbili tayari ndani ya muungano
1. Utambulisho wake upo
2. Ana serikali yake
Kwa hiyo linapokuja swala la kuamua mambo yake ya ndani kiutawala.. Zanzibar ina chombo chake huru cha kufanya hivyo. Na linapokuja swala la kuamua mambo ya muungano ipo serikali ya Jamhuri ya muungano

Hapo ndipo Tanganyika alipopigwa bao la kisigino kwenye huu muungano.. Ndio maana leo hii watu wa Zanzibar wanaweza kuvuka maji na kuja kuwa viongozi Tanganyika kwa kofia ya muungano lakini mtanganyika kamwe hawezi kuvuka maji na kwenda kuwa kiongozi kule!

Muungano ni mzuri, kuungana kuna faida nyingi, USA ni muungano wa majimbo, UAE ni muungano wamajimbo pia.. Tunaziona faida za kuungana.. Lakini ni lazima uwe ni muunganiko wenye mizania sawa..
Suala la dpw litutoe sasa kwenye hii ganzi tuliyopigwa itutoke tuwe na mwanzo mpya sasa hasa kwenye huu muungano. Tungekuwa na utambulisho wetu wa Tanganyika ina maana tungekuwa na serikali yetu huru na hili suala la bandari lisingeamuliwa na serikali ya Muungano na kutufikisha hapa tulipofikia

Tuurejee mkataba wa muungano upya! Utambulisho wa Tanganyika uwepo ili tupate nguvu ya kuwa na serikali huru ya Tanganyika... Tukiliacha tena hili...TUTAHUKUMIWA NA WAKATI

Sent using Jamii Forums mobile app
Just take good note of this: tarehe 26 April 1964 Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibar ziliungana na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Tarehe 29 Oktoba 1964 jina la nchi likabadilishwa na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ilikubalika tangu awali Zanzibar ibakie na uhuru mkubwa wa kujitawala (autonomy) ndani ya Muungano.

Swali kubwa: ni nani alikuwa mhandisi wa muungano huo na lengo lake kuu lilikuwa lipi hasa? Bila kusahau muungano wa kisiasa wa 5 Februari 1977 uliounganisha TANU na ASP kuunda CCM. Hakuna kinachotokea hivi hivi tu na wananchi pande zote za muungano hawakushirikishwa. Hakukuwa na referendum. Walikusanywa kushangilia tu.
 
Watu wa kawaida ,wakulima na wafanyabiashara wananufaika na huu Muungano.Bidhaa kama Michele,maharage,kunde,mbaazi,uwele,ufuta,viazi,nyanya,machungwa,vitunguu maji,saumu,karoti,hoho,pilipili,tangawizi nk,malori kwa malori,yanapakia kwenye vyombo vya bahari na kupelekwa Zanzibar,nyinyi mwabakia kupiga kelele tu.Badala kujishughulisha,mkapata pesa,kwa kulima mashamba makubwa bado mwakalia uvivu tu.
Sisi wauza wakulima na wauza ndizi mbona haturuhusiwi huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom