mkuu nadhani kama tunaweza tafuta sehemu tusherekee pamoja itakuwa vizuri.......na mimi nimeliona hilokama mtu akithibitisha habari kwamba mbatia hakupiga kura nanua bia kusherekea kupotea kwa kura moja ya JK, wow!
Hatimaye amefanikiwa kupiga kura baada ya kuwasiliana na NEC kwa kutumia jeuri ya kuwa mgombea, vinginevyo asingepiga kura kabisa!sasa Mbatia atashtaki Tume au ataendelea na kesi yake na CHADEMA? Na tumwulize alivyokuwa analalama kuwa CHADEMA wamemkiuka bila kumwachia jimbo, sasa kumbe hata hajajiandikisha na sii mpiga kura halali! aisee, jamaa ka-expire mno!
Hiyo haitishi,enzi hizi za maendeleo ya uchapichaji kitu kama hicho ni rahisi kufanywa na watu wa kawaida,na wala NEC wasihusikekatika hali ya kushangaza, jina la mgombea ubunge jimbo la kawe kupitia nccr mageuzi, mh. James Mbatia hatapiga kura mpaka sasa kwa sababu jina lake halijaonekana kwenye orodha.
Kwa kweli NEC wamechemsha sana kwenye maandalizi ya uchaguzi. Pia mh. Mbatia amewaonesha waandishi wa habari kadi feki ya kupigia kura iliyo amatwa yenye jina bila picha ya mwenye kitambulisho.
mkuu nadhani kama tunaweza tafuta sehemu tusherekee pamoja itakuwa vizuri.......na mimi nimeliona hilo
Hatimaye amefanikiwa kupiga kura baada ya kuwasiliana na NEC kwa kutumia jeuri ya kuwa mgombea, vinginevyo asingepiga kura kabisa!
Usually Majina Yapo. Watu wanashindwa tu kufuatilia kwa Uzuri.