Habari nilizozipata kutoka chanzo cha ndani ya Jeshi la polisi ni kuwa Jambazi lililoua polisi Mkoani Arusha limeuawa na polisi asubuhi ya leo maeneo ya karibu na Monduli na lilijaribu kupambana na askari na kumg'ata askari mmoja lakini polisi walifanikiwa kulidhibiti na kuliua.