Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ukisimuliwa sakata hili utazani sinema ya za kivita nchini china la hasha ni shurba iliotokea mjini dar es salaam hapo jana jambazi mmoja aitwae jumanne jana alipanda juu ya paa la nyumba ya mtu na kisha kuanza kumimina risasi bashasha..kwa polisi waliokuwa katika harakati za kupambanana majambazi hayo yaliyovamia hotel...
.hata hivyo majibizano ya risasi yaliishia mtu huyo kutunguliwa juu na risasi na polisi....tukio hilo lililowavutia watu wengi lilitokea jana saa 9alasiri eneo la manzese madizini kwenye hotel ya bismark kamanda wapolisi wa kinondoni amesema
akisimulia zaidi tukio hilo mesema majambazi manne yalifika kwenye hotel hiyo kwa nia ya kufanya uhalifu...lakini kabla ya kufanikisha azma yao hiyo polisi walipata taarifa na kwenda eneo ya tukio na kuyazingira.....
Aidha amesema baada ya kuyazingira jambazi ambalo alikuweza kufahamika maramoja halisi..maarufu kama j4 liliamua kupanda juu ya paa ya nyumb ya jirani....akasema likaanza kumwaga risasi rashasha kwa polisi kama vile mastrling wa mikanda ya kivita wanavyofanya....hata hivyo walijibu kwa ustadi wa hali juu wakalitungua na kisha kuchukua bunduki hiyo smg iliyokuwa imebaki na risasi 22 na magazine 2
polisi walifanikiwa kuyakamata majambazi mengine matatu ambayo majina yamehifadhiwa kwa sababu ya uchunguzi zaidi...
Duh marehemu wameamua kumtaja j4..hawa walio hai yamehifadhiwa kazi kwenu polisi....msije wakawa mapolisi/wanajeshi wastafu mkashindwa kututajia...maana sasa hivi wanandugu majambazi wakiingia course wamepitia ama jeshini/polisi
hongereni;tungeomba iwe hivi kila siku na si kwa wengine mnaulizia wameshaondoka ...wana muda gani...then ndio mnaingia...tutawatafsiri vingine
.hata hivyo majibizano ya risasi yaliishia mtu huyo kutunguliwa juu na risasi na polisi....tukio hilo lililowavutia watu wengi lilitokea jana saa 9alasiri eneo la manzese madizini kwenye hotel ya bismark kamanda wapolisi wa kinondoni amesema
akisimulia zaidi tukio hilo mesema majambazi manne yalifika kwenye hotel hiyo kwa nia ya kufanya uhalifu...lakini kabla ya kufanikisha azma yao hiyo polisi walipata taarifa na kwenda eneo ya tukio na kuyazingira.....
Aidha amesema baada ya kuyazingira jambazi ambalo alikuweza kufahamika maramoja halisi..maarufu kama j4 liliamua kupanda juu ya paa ya nyumb ya jirani....akasema likaanza kumwaga risasi rashasha kwa polisi kama vile mastrling wa mikanda ya kivita wanavyofanya....hata hivyo walijibu kwa ustadi wa hali juu wakalitungua na kisha kuchukua bunduki hiyo smg iliyokuwa imebaki na risasi 22 na magazine 2
polisi walifanikiwa kuyakamata majambazi mengine matatu ambayo majina yamehifadhiwa kwa sababu ya uchunguzi zaidi...
Duh marehemu wameamua kumtaja j4..hawa walio hai yamehifadhiwa kazi kwenu polisi....msije wakawa mapolisi/wanajeshi wastafu mkashindwa kututajia...maana sasa hivi wanandugu majambazi wakiingia course wamepitia ama jeshini/polisi
hongereni;tungeomba iwe hivi kila siku na si kwa wengine mnaulizia wameshaondoka ...wana muda gani...then ndio mnaingia...tutawatafsiri vingine