Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Wiki nzima mnatuvalia mavazi ya kututega. Tumeamua kuja kutubu dhambi zetu za kutamani, huku nako mnakuja na vimini vyenu na visuruali vya kubana! Tukimbilie wapi sie? Wengine miguu yenu kama chelewa tu!!! Mungu atusamehe. Hata makahaba mchana huwa wanajisetiri usiku ndo wanavaa hivyo,hii sijui ni laana!!!