nisaidieni kitu kimoja.....
limenijia tu hili wazo ghafla tu kichwani....
nataka kununua machine kubwa ya kukata viazi na kutengeneza chips,
then,nisambaza kny ma-bar ready kukaanga...sehemu km sinza si nitapata wateja
is this real bussiness ama wishful thinking...nisaidieni...:rain:
limenijia tu hili wazo ghafla tu kichwani....
nataka kununua machine kubwa ya kukata viazi na kutengeneza chips,
then,nisambaza kny ma-bar ready kukaanga...sehemu km sinza si nitapata wateja
is this real bussiness ama wishful thinking...nisaidieni...:rain: