Nna boyfriend ambae baadae natarajia kua mme wangu mtarajiwa,wakati ananapproach alniambia km alkua n demu lakini aliachana nae kwa bahati mbaya wakati wanaachana kumbe hyo msichana alikua na mimba ya huyo boyfriend wangu,n mwnyw alniambia na akaniomba Ushauri coz alkua anasema aikatae mimba huenda Co yake, bt m nkamshauri ackatae incase n yake ajue namna ya kujipanga. Mtoto akazaliwa copyright n hyo boyfriend wangu. Tatizo langu n kwamba huyu boyfriend wangu ataendelea kua na msimamo na mm ama atarudi kwa msichana aliezaa nae?