Naamini mashoga wengi wanatokana na malezi mabaya ya wanawake, mtoto wa kiume mlee kiume asilelewe kidada dada unakuta mtoto wa kiume anavalishwa gauni la mtoto wa kike hii tafsiri yake nini?
sawa baba.nimekubali
au vipi? hata wanaobisha rohoni ukweli wanaujua.leo nlikua kwenye foleni asubuh..jamaa wanashindana kugawa vipeperushi vya Nguvu za kiume...ni dalili mojawapo kuwa wanaume tupo wachache bado pia idadi ya wasio rizki imeongezeka..purely wanaume tupo wachacheeee
Haya twendelee
mi nalia na wanawake wanao wavisha watoto wao nguo za kike hawa ndo wanasababisha idadi ya mashoga inaongezeka nchini haswa haswa huu ukanda wa Pwani na vitongoji vyake.
Mnajadili nini nyie humu?
apana .nakataa et mwanaume ni mwanaume tu mhh hell nooooooooooooooooo....so mwanaume shoga ni sawa na mwanaume wa kawaida?
mwanaume mlev..anampga mkewe ajali family ni sawa na yule anayejali famil?
kuna magrade ya wanaume ..SIO KILA MVAA SURUALI NI MWANAUME...ndoa apo penye WANAUME NI WACHACHE TENA WACHACHE SANA...weng wenu magume gume tu:rolleyez:
hah hahaha kinawauma ehhh? AFU ELEWA KWANZA APA SIJAONGELEA NGONO WEWE MWENYE KUVAA SURUALI...sasa tuendelee:hippie:
ndo manake babu..wanaume wenye uanaume ni wachache..chek wangap wamelelewa na mama tu?bab katelekeza famil..mnasomeshwa na mama zenu mpk lenu mmeweza.. kununua DADAVUZI MPAKATO bas mnajionaaaaaaaaaaaaa et ohh wanaume wachache ehh ni kweli ni wachache...cz mnayotakiwa kutenda km wanaume hamtend..sasa bado tuwaite wanaume?....MWANAUMEANA SIFA ZAKE BWANA...UKIKAA NAE UNAJUA YAP THIS IS A MAN..
du! jamani hii thread ngoja nii delete!Unataka kulazimisha mwanaume nae abebe mimba sio? Mwanaume tofauti na mwanamke, na mwanamke utaendelea kuwa mwanamke tu usitake kulazimisha kukojoa umesimama utajichafua nguo shauri yako.
wanaume wanaojua uanaume wameisha.wapo wachache..wamebak wavaa vtop
nasema hiviiii, hao chesiiiiiii mwisho wake ndiyo hapo. Labda wasikutane na special one!!!!!!!!!!!!!!!!!!ila jamani chesiiiiiiiii
wanajua kunipa laaa utamu laa utamu
tunakujadili wewe na safari zako za arusha zisizoisha!