KABUKANOGE
Member
- Mar 20, 2012
- 24
- 6
Mara baada ya mgomo wa madactari kugoma ile mara ya pili walijitokeza, baadhi ya vibaraka na kujiita wanaharakati wazalendo na kusema eti wanafungua kesi dhidi ya maprofessional, so hii kitu iliishia wapi,naomba mwenye taarifa ya kinachoendelea atupie hapa