Jamani vijijini wanawake wanathaminiwa sana

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Aug 6, 2020
3,751
7,119
Wanasema tembea uone,,,hakika najionea ambayo sikuyaona town

Huku wanawake wanathamani kuliko uhai wa mtu,,,, yaani ukijichanganya na wake za watu inaundwa kamati ndogo na chap unakatishwa uhai wako,,,, jana tu kuna mwamba nasikia wamekatisha uhai wake kisa alitembea na mke wa mtu.

Kuna kisa kimoja nimekipata,,, kuna walimu walikuja field,mmoja akajichanganya kwa mke wa mtu,,, wazee wakamwonya lkn akaleta kiburi,, ilipokuja kamati ya kumsaili akiwa darasani akawa hawaoni wanafunzi ndani ya darasa,ikabidi fomu yake irudi bila kujazwa.

Alipokumbushwa na mwenzake kuhusu kukaidi wazee waliomwonya ndo ikabidi arudi kuomba radhi,,, wazee wakamwambia ''sisi tulishamaliza hilo swala '' haikujulikana mwisho wake imekuwaje.

Lakini adhabu kubwa na ambayo inachukuliwa mara baada ya kutoka na wake za watu ni kuuwawa chap

Nilichogundua wanawake huku vijijini ni wachache mno hivyo inakuwa ni bidhaa adimu sana ambayo kila mwanakijiji anapaswa kuithamini na kuilinda

Tofauti na mijini wapo wengi na mambo ni mengi hivyo inakuwa vigumu kufuatiliana sana,,,lkn vijijini ni tofauti kabisa

Mafundi ujenzi hawa bwana ni wakali wa wake za watu hawaoni shida kuhonga kipato chake cha siku ili mradi atimize lengo lake,,, kuna ambao walikimbia kazi baada ya kupata nyepesi kwamba kuna kamati ndogo imeundwa kwa ajili ya kutoa adhabu ya kifo,,, wanakijiji hawana mambo mengi sijui polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa ni kupotezeana mda tu.

Anyways kuna kamadam nimekaelewa nimetuma vijana wangu wakafanyie utafiti kwanza kabla sijatolewa sadaka ugenini,,,,just kidding


Ni hayo tu!
 
Watu wa mikoani Kila kitu wanasolve kwa violence. Hata wakitaka kukupora simu ya lakini, unaweza pigwa na nyundo ya kilo 3 kichwani.

Maeneo ya huko ni kuwa mpole tu.
Nadhani ni kutokana na nature ya shughuli zao,,, mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe

Kwahiyo wanaamini katika nguvu Zaidi,,, nyie wa mjini tumieni kalamu tu,,,, nguvu muwaachie wao
 
Huku wanawake wanathamani kuliko uhai wa mtu,,,, yaani ukijichanganya na wake za watu inaundwa kamati ndogo na chap unakatishwa uhai wako,,,, jana tu kuna mwamba nasikia wamekatisha uhai wake kisa alitembea na mke wa mtu.
Je na huyo Mke wa Mtu naye wamemkatisha uhai kwa kusaliti ndoa?

Hiyo ni jamii ya wapumbavu sama na itaendelea kuwa watumwa wa Mbunye.

I gues ni jamii maskini sana.
Mke akichepuke maana yake fala ni mume wake sio Mchepuko.
 
Je na huyo Mke wa Mtu naye wamemkatisha uhai kwa kusaliti ndoa?

Hiyo ni jamii ya wapumbavu sama na itaendelea kuwa watumwa wa Mbunye.

I gues ni jamii maskini sana.
Mke akichepuke maana yake fala ni mume wake sio Mchepuko.
Hili nalo litazamwe,,, inaonekana Kana kwamba mwanamke hawezi kujisimamia au kufanya maamuzi ya kukataa,,, kwahiyo victim ni mtongozaji
 
Kumbe kashaleta nyingine......basi huyu ni Mhanga.
Hapana ilikuwa ni Mada ambayo ndani yake kuna kipengele hicho

 
Wanasema tembea uone,,,hakika najionea ambayo sikuyaona town

Huku wanawake wanathamani kuliko uhai wa mtu,,,, yaani ukijichanganya na wake za watu inaundwa kamati ndogo na chap unakatishwa uhai wako,,,, jana tu kuna mwamba nasikia wamekatisha uhai wake kisa alitembea na mke wa mtu.

Kuna kisa kimoja nimekipata,,, kuna walimu walikuja field,mmoja akajichanganya kwa mke wa mtu,,, wazee wakamwonya lkn akaleta kiburi,, ilipokuja kamati ya kumsaili akiwa darasani akawa hawaoni wanafunzi ndani ya darasa,ikabidi fomu yake irudi bila kujazwa.

Alipokumbushwa na mwenzake kuhusu kukaidi wazee waliomwonya ndo ikabidi arudi kuomba radhi,,, wazee wakamwambia ''sisi tulishamaliza hilo swala '' haikujulikana mwisho wake imekuwaje.

Lakini adhabu kubwa na ambayo inachukuliwa mara baada ya kutoka na wake za watu ni kuuwawa chap

Nilichogundua wanawake huku vijijini ni wachache mno hivyo inakuwa ni bidhaa adimu sana ambayo kila mwanakijiji anapaswa kuithamini na kuilinda

Tofauti na mijini wapo wengi na mambo ni mengi hivyo inakuwa vigumu kufuatiliana sana,,,lkn vijijini ni tofauti kabisa

Mafundi ujenzi hawa bwana ni wakali wa wake za watu hawaoni shida kuhonga kipato chake cha siku ili mradi atimize lengo lake,,, kuna ambao walikimbia kazi baada ya kupata nyepesi kwamba kuna kamati ndogo imeundwa kwa ajili ya kutoa adhabu ya kifo,,, wanakijiji hawana mambo mengi sijui polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa ni kupotezeana mda tu.

Anyways kuna kamadam nimekaelewa nimetuma vijana wangu wakafanyie utafiti kwanza kabla sijatolewa sadaka ugenini,,,,just kidding


Ni hayo tu!
Gardner alipo sasa hivi anawashangaa sana na kusikitika nakujisemea tu laiti mngejua faraja na furaha iliyopo upande wa pili msingesumbuka kuendelea kuwa hai nakuwa mambwiga na mapoyoyo yaliyokubuhu.
 
Back
Top Bottom