Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Serikali kupitia EWURA imeridhia ongezeko la 18% ya bei ya umeme kuanzia January mwakani. Hilo ni pigo kwa mtumiaji na tayari ongezeko hili litakuwa na athari katika uchumi wetu. Wahanga wakubwa ni watumiaji wa majumbani ambao wenyewe hawana wa kumtwisha zigo hilo mtu yoyote tofauti na viwanda ambavyo vinaweza kufidia kwa kupandisha bei ya bidhaa zake.
WanaJF mnalionaje hili?
Source. TBC1
WanaJF mnalionaje hili?
Source. TBC1