Siamini ninachokiona tbc ,hili ni shirika la taifa la utangazaji , nashangaa linashindwa kurusha mechi za AFCON.Miaka ya nyuma itv walikuwa wanarusha kwa sasa wakati wa sayansi na technojia hawarushi.JIPANGENI MTUFURAHISHE WA WATANZANIA.TTAKRIBANI MASHIRIKA UTANGAZAJI YA MATIFA MENGINE YANARUSHA BUREEE MFANO CAMEROUN,SENEGAL,MADAGASCAR ETC