Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,369
Athumani:
Alimkosea nini Mungu mpaka ikaibuka huu msemo: MUNGU SI ATHUMANI
Mtemakuni
Huyu alipata adhabu gani mpaka huu mkwala ukaibuliwa "UTAKIONA CHA MTEMAKUNI"
Sikukuu ya Iddi
Ina nini hasa mpaka wakaidi ndo inakuwa kimbilio lao "MKAIDI HAFAIDI MPAKA SIKU YA IDDI"
Babu amejuiliza amekosa majibu.
Hebu msaidieni majibu apate cha kulonga na wazee wenzake kaunta ya juu Ijumaa hii wakati akigida Castle Milk Stout ya baridi kwenye glasi ya moto, iliyochemshwa.
Afu nawatakieni Wikiendi njema:
Msiendeshe mkiwa mmelewa, msifanye ngono zembe...tumieni kondom, ikibidi mzimeze kabisa kwa ajili ya kinga zaidi endapo mtabusiana na maulimi yenu
Alimkosea nini Mungu mpaka ikaibuka huu msemo: MUNGU SI ATHUMANI
Mtemakuni
Huyu alipata adhabu gani mpaka huu mkwala ukaibuliwa "UTAKIONA CHA MTEMAKUNI"
Sikukuu ya Iddi
Ina nini hasa mpaka wakaidi ndo inakuwa kimbilio lao "MKAIDI HAFAIDI MPAKA SIKU YA IDDI"
Babu amejuiliza amekosa majibu.
Hebu msaidieni majibu apate cha kulonga na wazee wenzake kaunta ya juu Ijumaa hii wakati akigida Castle Milk Stout ya baridi kwenye glasi ya moto, iliyochemshwa.
Afu nawatakieni Wikiendi njema:
Msiendeshe mkiwa mmelewa, msifanye ngono zembe...tumieni kondom, ikibidi mzimeze kabisa kwa ajili ya kinga zaidi endapo mtabusiana na maulimi yenu