grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
- Thread starter
- #41
Unazungumzia yule shosti wako mtamu kuliko wewe tuliyemtungua kwenye ligi kuu 2-0, Super 8 (2-1) tena nikishirikana na wanangu na Ngao ya Hisani (3-2)? Mwambie aje tena safari hii nitamuhonga kombe moja maana hana hata glasi?Acha ujinga wewe! Mara tu umesahau tumechukua kagame kwa kummbaka bwana wenu Azam aliyewatoa kwenye mashindano?
Mwenzio mtamu kwa kuwa hatunguliwi sana kama wewe.