Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Hbr wanaJF: nina mpenz wangu NAMPENDA sana ila kwa muda wa wiki 3 sasa tupo ktk mzozo mkubwa unaotishia uhusiano wetu,tulipanga twende tukajitambulishe kwa wazazi lkn yeye alimpa kama dokezo tu mama yake,mama akasema sitaki uniletee mtu ambae HAJAOKOKA,hilo lilileta mzozo kwan mi sikuwa tayar kuokoka na mwishowe akakubali kuwa liwalo na liwe ataishi nami hata kama wazaz wake watakataa.Tukiwa bado hatujatulia vizur baba yake akaja na hoja kuwa kuolewa mpaka 2016 na sio sasa,hapo mzozo ukaibuka upya na akasema kama sipo tayar basi nitangulie tu kuoa,kweli nilichukia nkamjibu POA. tukakaa wiki zima bila mawasiliano mpaka mimi nilipofunga safar toka mbeya kuja dar kusuruhisha-yakaisha..tatizo ni kuwa mpnz amebadilika sana,hana hamu na mm kama zaman,hatumi msg na akituma basi anajibu msg yangu tena kifupi tu sawa,poa au nmeelewa yan sio kama zaman na baada ya kumuuliza leo akasema HAYUPO TAYARI KUNIKOSA lakin pia anakosa ile hamasa ya mapenz kwangu,nfanyeje arudi ktk hali yake ya zamani jaman?