Jamani mapenzi yatanimaliza nisaidieni pls

mapenzi haya jamani!!! nakushauri usikilize yeye msimamo wake upo wapi. inawezekana wazazi wamempa vitisho. kama bado anakupenda mtafute namna nzuri ya kuwashawishi wazee.
 
ushauri wangu tafuta mwanamke mwingine huyo doa tayari ni matatizo walokole sio wanawake wa kuoa wanachuki na ni wabinafsi bora uoe mwanamke ambae hana dini au muislamu sala saba kuliko uoe mlokole.wanachuki hawa watu sana...mtu yeyote akikuambia ni mlokole ww mchunguze matendo yake..kila kitu matendo.bora uoe malaya atatulia lakini si mlokole atakuua kwa presure na stress,malaya wengi waqkiolewa wanatulia
hasty generalization fallacy.
 
Hbr wanaJF: nina mpenz wangu NAMPENDA sana ila kwa muda wa wiki 3 sasa tupo ktk mzozo mkubwa unaotishia uhusiano wetu,tulipanga twende tukajitambulishe kwa wazazi lkn yeye alimpa kama dokezo tu mama yake,mama akasema sitaki uniletee mtu ambae HAJAOKOKA,hilo lilileta mzozo kwan mi sikuwa tayar kuokoka na mwishowe akakubali kuwa liwalo na liwe ataishi nami hata kama wazaz wake watakataa.Tukiwa bado hatujatulia vizur baba yake akaja na hoja kuwa kuolewa mpaka 2016 na sio sasa,hapo mzozo ukaibuka upya na akasema kama sipo tayar basi nitangulie tu kuoa,kweli nilichukia nkamjibu POA. tukakaa wiki zima bila mawasiliano mpaka mimi nilipofunga safar toka mbeya kuja dar kusuruhisha-yakaisha..tatizo ni kuwa mpnz amebadilika sana,hana hamu na mm kama zaman,hatumi msg na akituma basi anajibu msg yangu tena kifupi tu sawa,poa au nmeelewa yan sio kama zaman na baada ya kumuuliza leo akasema HAYUPO TAYARI KUNIKOSA lakin pia anakosa ile hamasa ya mapenz kwangu,nfanyeje arudi ktk hali yake ya zamani jaman?

Pole sana! usiwe na haraka sana katika utatuzi wa jambo hili, unapaswa kujua mwenzio pia yuko katika wakati mgumu sana, yuko kwenye "Dilemma" unapaswa umsaidie taratibu kuona wazazi wake ni muhimu sana kwake lakini pia atapaswa kufanya maamuzi muhimu bila kukupoteza wewe! kipindi cha kuchagua mchumba si kipindi chepesi kama watu wangi wanavyofikiri, Tafadhali, jitahidi kuonesha muonekano mzuri na tabia zenye mvuto kwake ambazo zitamhakikishia pengine asizipate kwa mwanamke yeyote!

Wakati mwingine sisi watoto wa kiume unaweza ukashindwa kumueleza mpenzi wako umemchoka hutamwoa unaanza visingizio na hasa kusingizia wazazi ambao kimsingi wewe huwezi kuwahoji. Mi naona bado kuna nafasi kubwa tu ya kuyapatia ufumbuzi matatizo yaliyojitokeza Lakini kama yote hayo hayatasaidia basi sio riziki inauma sana lakini "No way! utapaswa kuachia.
 
@shibalanga,yan mpaka nmeckia ucngzi jinsi ushaur wako ulivyonipa faraja. Asante mno mkuu
 
@baba juice!,umetumia maneno makali sana kwa walokole...mmmh hapana mkuu yeye si mlokole in such yan anaigiza tu kwa kuwa mama yake anataka awe mlokole na ndo maana akataka nami ni-act hvyo hata hapo niligoma pia ndo maana akasema basi liwalo na liwe. Pls usiwe mkali hvyo

Braza we mpe mimba tu, evry things gonna be olrit
 
Mhhh nafakiri huyo ana stress za kutoka kwa wazazi wake na imani waliyonao wazazi wake na pia still bado anakuhitaji. Haya mazingira pengine inawezakana ndiyo yanayompa shida.

Nakushauri mpe muda, uongo utajitenga na ukweli.

Pole brother
 
Inawezekana kabisa mwenzako anahudumiwa na mwingine,omba unyumba,kula kitu,ukitaka pia kumwahisha mpe mimba,hapo hatakuwa na ujanja tena,unaoa taratibu bila usumbufu
 
ndugu huyo msichana anakupenda tatizo hao wazaz ndo wanaleta utata wote huo. Mpe muda na wkt huo kukijiweka jiran sana nae.
 
ushauri wangu tafuta mwanamke mwingine huyo doa tayari ni matatizo walokole sio wanawake wa kuoa wanachuki na ni wabinafsi bora uoe mwanamke ambae hana dini au muislamu sala saba kuliko uoe mlokole.wanachuki hawa watu sana...mtu yeyote akikuambia ni mlokole ww mchunguze matendo yake..kila kitu matendo.bora uoe malaya atatulia lakini si mlokole atakuua kwa presure na stress,malaya wengi waqkiolewa wanatulia

Mungu akusamehe bure BJ.
 
Sio mkiishi miezi mitatu, ni miezi sita na majirani wawaone na kuwatambua kama mke na mume, hapo kisheria kunakuwa na kitu wanaita "assumption of marriage"
 
Pole sana, lakin kwa upande mwingine ni heri ilivyotokea kabla ya ndoa kuliko ingetokea huku mkiwa ndani ya ndoa, ikishindikana kabisa ni bora ufanyiwe cancellin usahau kabisa kuliko kulazimisha muoane af yaje yatokee mambo ya ajabu itakuuma sana zaidi ya hapa.ikiwezekana mpende kawaida lakin usimwamin hata kidogo bali umtengenezee mazingira ya kufanya ye akupende zaid, NB: huwez ukakosa mwanamke wa ku muoa ambae mtapendana cse wasichana ni wengi kwa 70% in tanzania.
 
vuta pumzi,mpe nafasi,hata yeye hili jambo linamuumiza sana,kwani ktka swala linalohusu ndoa,watu wa kwanza kabisa kutegemea kupata support ni wazazi,hv inapokosekana huwa inaumiza sana,ndio maana wengine wanapoona vkzo kama hvyo huamua kuharibu kwa kubeba mimba ili mzazi asarennde naakubali matokeo,wengi hufanikiwa ktk mission hii,so angalia possible angles unazoweza kuovercome hili jambo,but be sure hamchezeani bali mnamaanisha kuona,ile nia haswa.
 
the boss,acha na hilo mi kwa sasa nafocus on how to rescue ma love na kiukweli ndo kwangu ni lazima tena lazima hakuna discussion hvyo pls help me kwenye swali langu la msingi


Duh,kaka yaelekea umekomaa sana na ndoa mpaka dada na familia yake wanaku-avoid mzee.....tena agenda ya ndoa ipige chini,usiwawekee mezani for the time being...yaelekea hukuwaandaa kisaikolojia hao....wanakuwekea kizingiti tu...hamna dawa ingine mzee bila kumpa mimba huyo mtoto,otherwise unacheza tu makidamakida..utaishia tu na fantasy za ndoa kwanza na mbwembwe zingine kibao....jeuri ni mimba isiyokua na discussion...wewe fata huo utaratibu wako wa sijui ndoa rasmi,huyo dem utamsikilizia kwenye bomba tu mpaka 2016 ukiwa 32yrs...na im sure kuna njemba zitaku overtake...na hivo tena wazazi wake wameanza drama,issue itakua ndeeeefu halafu utakuta muda wako umepotea buuure.
 
Mungu akusamehe bure BJ.

Sasa wewe Butifulu Ledi unadhani BJ kakosea?Whether you accept or not,walokole ndio ivo walivo japokua sio wote...wana dharau binadamu wengine wooote ambao hajaokoka,superiority complex ndio tatizo lao....bure kabisa....
 
wewe achana nae kwan lazima umuoe yy?kuna rafk wa dadaangu ding ake alimkataa mchumba et kisa sio tajir..we bas mdada anazid kuchina home anamlaumu babake kshenz,labda kuna mtu kamtafutia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom