Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,223
how old are you??????
kwani mkiiishi tu bila kuoana kuna tabu gani????????
ndo maana nakupendaga UKO FASTER
how old are you??????
kwani mkiiishi tu bila kuoana kuna tabu gani????????
hasty generalization fallacy.ushauri wangu tafuta mwanamke mwingine huyo doa tayari ni matatizo walokole sio wanawake wa kuoa wanachuki na ni wabinafsi bora uoe mwanamke ambae hana dini au muislamu sala saba kuliko uoe mlokole.wanachuki hawa watu sana...mtu yeyote akikuambia ni mlokole ww mchunguze matendo yake..kila kitu matendo.bora uoe malaya atatulia lakini si mlokole atakuua kwa presure na stress,malaya wengi waqkiolewa wanatulia
Hbr wanaJF: nina mpenz wangu NAMPENDA sana ila kwa muda wa wiki 3 sasa tupo ktk mzozo mkubwa unaotishia uhusiano wetu,tulipanga twende tukajitambulishe kwa wazazi lkn yeye alimpa kama dokezo tu mama yake,mama akasema sitaki uniletee mtu ambae HAJAOKOKA,hilo lilileta mzozo kwan mi sikuwa tayar kuokoka na mwishowe akakubali kuwa liwalo na liwe ataishi nami hata kama wazaz wake watakataa.Tukiwa bado hatujatulia vizur baba yake akaja na hoja kuwa kuolewa mpaka 2016 na sio sasa,hapo mzozo ukaibuka upya na akasema kama sipo tayar basi nitangulie tu kuoa,kweli nilichukia nkamjibu POA. tukakaa wiki zima bila mawasiliano mpaka mimi nilipofunga safar toka mbeya kuja dar kusuruhisha-yakaisha..tatizo ni kuwa mpnz amebadilika sana,hana hamu na mm kama zaman,hatumi msg na akituma basi anajibu msg yangu tena kifupi tu sawa,poa au nmeelewa yan sio kama zaman na baada ya kumuuliza leo akasema HAYUPO TAYARI KUNIKOSA lakin pia anakosa ile hamasa ya mapenz kwangu,nfanyeje arudi ktk hali yake ya zamani jaman?
@baba juice!,umetumia maneno makali sana kwa walokole...mmmh hapana mkuu yeye si mlokole in such yan anaigiza tu kwa kuwa mama yake anataka awe mlokole na ndo maana akataka nami ni-act hvyo hata hapo niligoma pia ndo maana akasema basi liwalo na liwe. Pls usiwe mkali hvyo
ushauri wangu tafuta mwanamke mwingine huyo doa tayari ni matatizo walokole sio wanawake wa kuoa wanachuki na ni wabinafsi bora uoe mwanamke ambae hana dini au muislamu sala saba kuliko uoe mlokole.wanachuki hawa watu sana...mtu yeyote akikuambia ni mlokole ww mchunguze matendo yake..kila kitu matendo.bora uoe malaya atatulia lakini si mlokole atakuua kwa presure na stress,malaya wengi waqkiolewa wanatulia
the boss,acha na hilo mi kwa sasa nafocus on how to rescue ma love na kiukweli ndo kwangu ni lazima tena lazima hakuna discussion hvyo pls help me kwenye swali langu la msingi
Mungu akusamehe bure BJ.