mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Mombasa ni mji mzuri ila unaharibiwa na hawa watu wa kuja akina marehemu Makaburi na dini yao,waafrika na watu wa asili wa hapo hawana matatizo ,matatizo yanaletwa na waarabu na wasomali ambao wameiteka Mombasa kwa kuwa na pesa kutoka kwa hao Al Shababu na kuuza sembe,waswahili wamebaki raia wa daraja la tatu.