Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?