Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,777
- 3,612
Duh!!! Aisee huyu ni Terminator 5...112kg...Mie hata nikila gunia zima siwezi kufikia hizo kilo zake.
Meezy,Duh!!! Aisee huyu ni Terminator 5...112kg...Mie hata nikila gunia zima siwezi kufikia hizo kilo zake.
He is 23, nearly 2m tall and 110kg (we are talking muscle here)... :rolleyez: do you have his phone number?
Ramadhaan kareem LOL
nilijua umetosheka... lolHe is 23, nearly 2m tall and 110kg (we are talking muscle here)... :rolleyez: do you have his phone number?
nilijua umetosheka... lol
shughuli yake pevu utaiweza mama? huyu anakubeba na kukupeleka popote bila wasi...:redface: haswa ukiwa mvivu wa kuji-muvuzishaHe is 23, nearly 2m tall and 110kg (we are talking muscle here)... :rolleyez: do you have his phone number?
Mzima? za sikuuu?
hamkuti power mabula huyo
We sasa huyo Daniel Adongo ni kama sungura tu kwa huyo wa kulia mwa picha hii!
Ab-Titchaz hivi Kenya kuna league ya Rugby? Coz team ya Kenya ni Nzuri na iko na wakenya asilia wengi tofauti na ya Tanzania ambayo wazungu wenye asili ya Tz ni wengi zaidi... Then how about volleyball, and kriket kuna league zao? Huko coz naona team za Kenya ktk hiyo michezo ziko vizuri! If you an idea how do they manage Kuwa na classic youth competitions ktk rugby, kriket and volleyball? While ktk soccer mambo sio mambo!