Huyo anaitwa Catherine Lyombe, Afisa mtendaji wa Jukwaa la wadau wa sekta ya madini, mafuta na gesi. Anapenda kuweka hivyo kichwa chake sijui kwa nini? Hata kwenye Mwananchi ya leo (1 March 2012) ametokea hivyo hivyo!
Wamependeza sana hata ukisoma kwenye gazeti la Mwananchi la leo 01/03/2012 ukurasa wa 5 huyo dada amekenua kweli kuliko hata mama Salma akiwa na mzee wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.