Gelange Vidunda
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 314
- 31
From the Uchaguzi Tanzania 2010 forum: Jimbo la Karatu, mgombea Dk. Wilbroad Lorri, ameibuka kidedea kwa kura 82,460 akifuatiwa na Sixbert Kardya 3,078.
Ndiye yeye huyu? kama ndio naona hatumii jina la ukoo(?) Slaa na anatumia Lorri - Sasa Tatizo lipo wapi jamani? Au tunaendeleza kalcha ya kulalamiiiika tuu bila sabubu.
Kaaazi kweli kweli!!!
Ndiye yeye huyu? kama ndio naona hatumii jina la ukoo(?) Slaa na anatumia Lorri - Sasa Tatizo lipo wapi jamani? Au tunaendeleza kalcha ya kulalamiiiika tuu bila sabubu.
Kaaazi kweli kweli!!!