zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,095
Its this my machine operator, anaishi na mwanamke mitaa ya mabibo na wana motto mmoja. (hawajafunga ndoa) jamaa kajitahidi kapata kiwanja CHANIKA. Na kajenga kibanda chake sasa anataka kuhamia ili kupunguza ukali wa maisha, maana kodi za nyumba nazo zinakera.
Mke wake kakataa kwenda chanika kwamba hayuko tayari kuishi porini na kama akingangnia kwenda kuishi huko ndo utakuwa mwisho wao, kila mtu ajue maisha yake. Na wakati anajenga huyo mke wake alikuwa na taarifa na alishafika kuona maendeleo ya nyumba.
Bas jamaa kachanganyikiwa hajui afanye nini. Mke anampenda na amejaribu kuongea nae sana lakini hamuelewi.
Sasa niwaulize wadada, hivi upo tayari kumtosa mpenz wako kisa kaenda kuishi mbali na mji? Ya nni kubaguana kwa sababu ya makazi?
Maoni yenu plz
Mke wake kakataa kwenda chanika kwamba hayuko tayari kuishi porini na kama akingangnia kwenda kuishi huko ndo utakuwa mwisho wao, kila mtu ajue maisha yake. Na wakati anajenga huyo mke wake alikuwa na taarifa na alishafika kuona maendeleo ya nyumba.
Bas jamaa kachanganyikiwa hajui afanye nini. Mke anampenda na amejaribu kuongea nae sana lakini hamuelewi.
Sasa niwaulize wadada, hivi upo tayari kumtosa mpenz wako kisa kaenda kuishi mbali na mji? Ya nni kubaguana kwa sababu ya makazi?
Maoni yenu plz