firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
Mheshimiwa anapokanusha kauli yake mwenyewe juu ya ongezeko la mishahara kwa 100% kwa wafanyakazi wa kima cha chini.
Wadau naombeni mnieleweshe, maana nahisi sielewi kitu hapa, anapodai alimaanisha ni wafanyakazi wa ndani, mashambani na....... Khaaa!
Hivi wafanyakazi wa kima cha chini ni wapi?!!!!
Kuna nii hapa waungwana hebu tuelimishane. Mbona inasemekana makampuni ya madini yamechimba kibesi juu ya kauli hiyo then ndio...... mambo flani tunayoyaona!
Wadau naombeni mnieleweshe, maana nahisi sielewi kitu hapa, anapodai alimaanisha ni wafanyakazi wa ndani, mashambani na....... Khaaa!
Hivi wafanyakazi wa kima cha chini ni wapi?!!!!
Kuna nii hapa waungwana hebu tuelimishane. Mbona inasemekana makampuni ya madini yamechimba kibesi juu ya kauli hiyo then ndio...... mambo flani tunayoyaona!
*****Totaly :target:confused*****