Jamani haya matangazo..!!

tunajali zaidi watoto mkuu

ndiyo maana nikakwambia dunia ya utandawazi ina mazuri na mabaya yake, we unapiga kelele matangazo internet je? hivi mtoto akitaka kitu atakosa kwenye internet?

sasa unazuiaje? hapo ndiyo challege ya sisi wazazi wa ujumla wake. kwa hiyo mtoa mada asishikirie matangazo ambayo mi naona si tatizo kubwa zaidi ya internet. ingawa mtu atasema watoto wangapi wana access ya internet makwao - lakini ambao hawana wanapewa story ya mambo yanavyokuwa, na kikawaida watoto wa rika moja wanaaminiana sana na kusikilizana. yule hana atawachukua wenzake awapitishe kwao wakaone wanachotaka.

So hili ni tatizo la ki- utandawazi, mtoto wa miaka 10 anajua hata process ya kuzaliana inakuwaje -

utandawazi hauzuiliki - na huwezi kuficha kitu na ndiyo maana wanakwambia anza kuongea na mwanao mapema. akiona tangazo la kama unampenda utamlinda - akiuliza mjibu jibu atakaloelewa kwa umri wake na ukimjibu HOVYO HOVYO ataenda kutafuta ushauri kwa marafiki zake shule.

its a challege to all of us - so what to do? u will never stop globalization my friend - never.
 
ndiyo maana nikakwambia dunia ya utandawazi ina mazuri na mabaya yake, we unapiga kelele matangazo internet je? hivi mtoto akitaka kitu atakosa kwenye internet?

sasa unazuiaje? hapo ndiyo challege ya sisi wazazi wa ujumla wake. kwa hiyo mtoa mada asishikirie matangazo ambayo mi naona si tatizo kubwa zaidi ya internet. ingawa mtu atasema watoto wangapi wana access ya internet makwao - lakini ambao hawana wanapewa story ya mambo yanavyokuwa, na kikawaida watoto wa rika moja wanaaminiana sana na kusikilizana. yule hana atawachukua wenzake awapitishe kwao wakaone wanachotaka.

So hili ni tatizo la ki- utandawazi, mtoto wa miaka 10 anajua hata process ya kuzaliana inakuwaje -

utandawazi hauzuiliki - na huwezi kuficha kitu na ndiyo maana wanakwambia anza kuongea na mwanao mapema. akiona tangazo la kama unampenda utamlinda - akiuliza mjibu jibu atakaloelewa kwa umri wake na ukimjibu HOVYO HOVYO ataenda kutafuta ushauri kwa marafiki zake shule.

its a challege to all of us - so what to do? u will never stop globalization my friend - never.

yes its a challenge naninaongelea zaidi watoto chini ya 10yrs mtoto anayeza kusearh kitu kwenye net huyo amevuka level tunayozungumzia na tayari ameshaandaliwa mazingira mazuri wangapi watoto chini ya umri huo wanajua kutumia net hope kingekuwepo chombo cha kupitia haya matangazo kabla hayaja rushwa hewani kujua kama yanajali tamaduni zetu
 
jamani kunamatangazo yananikera sana kwani watoto wangu na wamajirani yamewaharibu kweli kweli lakwanza ni hili la zain linalosema weweeeeeee uhuru wa kuongea jamaa ananyuka anaanza kukata mauno kisawasawa sasa ukiwaona watoto walivyolikrem mwanzo mwisho nawanavyokatika yani ni balaa.
lingine ni hili la serengeti serengeti sasa nikiyatazama sioni yanamaana gani kulingana na wanachokitangaza au nikuteka umakini wa watu kwanza kama ndivyo walengwa wamekukuwa ni watoto zaidi

ebu tushauriane ili huu ni mtazamo wangu
Matangazo ambayo ni kikwazo kwangu ni yale ya "kama unampenda utamlinda" hapo hata kama mtoto akikuuliza kidogo inaleta utata, lakini hili la maximo na chui acha watu wamchangamkie chui wao.
 
Matangazo ambayo ni kikwazo kwangu ni yale ya "kama unampenda utamlinda" hapo hata kama mtoto akikuuliza kidogo inaleta utata, lakini hili la maximo na chui acha watu wamchangamkie chui wao.

sasa la serengeti utamjibu nn mtoto
 
Mimi kuna matanzago ya nanikera sana , moja thank God limekwisha , nilile ninasema "Wapigie mashoha zako wa Mwanza na Arusha waambia mchuma toka Azania bank,Toyota Axccio and Nissan Viggo " dah sauti ya yule demu ina nikera kinoma yani ya kishambenga sana ,halafu ni gumu kulielewa.

Lingine hili huwa na s=zima radio kwnye gari nikilisikia, ni lilela VOda nadhani kuna sehemu lnasema "Hivi wewe wajua una weza onge kwa dakika 60 za bure" dah yule demu ana sauti ya uswazi mbaka ina nikera.

Baya kuliko lote ni lile sijui la Benki ya Azania, ina tangaza acount yake, ni kwamba bosi ( akiwa na strong accent ya kikurya) ana mwita secretary ,na anajibiwa kuwa Secretary kaenda kufungua account , halafu huyo bosi anasema " nA Wewe unafanya nini hapa kwanini usiende kuchangamkia kufunga account hiyo"
Sasa nikajiuliza huyu aliye tengeneza hili tangazo alikua ana kubaliana kuwa saa za kazi unaweza fanya mambo yako binafsi na pia je walio pitisha hili tangazo hawakuona kosa hilo?
 
yani ww acha tu,mm nilimnunulia my gal vile vitabu vya kusoma vyenye picha nikaanza,bby say apple-apple,tukaendelea mengine nikafika hapa,bby say chita-eeeh mama serengeti serengeti,nikaduwaa kila nikimfundisha ananiambia mama uyu serengeti bwana sio chita

dah, kumbe binti amekuzidi maarifa kiasi hiki?/
kweli serengeti serengeti imeleta mambo.
 
hilo la Zaini hata mie huwa linanivutia jamani eeeh
zuriiiiiiiiiiiiiiiiiii thana tu
 
mleta mada kaona hayo ndio matangazo ya kero? kuna ya kondom, kuna la zain-eti ingiza basi...! hayo na mengine hajayaona? jipange upya, bwanakaka
 
Ni kweli kuna matangazo mengine mazuri sana yasiyohusisha hata ukataji wa viuno na ambayo hata mtoto akiyatizama yanampa changamoto ya kuchezesha akili yake katika kutaka kujua nini kitatokea. Jana nilikuwa naangalia movie nikaona tangazo la sikumbuki ni Red au Black Label sikumbuki maana mimi si wa hivyo vikali.

Walionyesha mvuvi anavua samaki na ndoano yuko ndani ya mto maji yamemfika kiunoni. Kisha akatokea mbabu (ana miwani ya kuchekesha) anaendesha pikipiki mbio akamchukua huyu mvuvi bila kumwambia kwapi anampeleka hadi nje ya nyumba moja ikiwa na watu weeeengi nje wanasubiria. Mvuvi kufika akaingiza ndoano yake dirishani akawa anavua funguo zilizoko ndani juu ya meza- akajaribu kama mara mbili bila mafanikio na ya tatu akazinasa na kuzitoa -wale watu woote wakashangilia. Kisha mlango ukafunguliwa wakaingia ndani na taa, TV vikawashwa kumbe ni kibar flan hv. Ndo mmoja akaropoka "Give tis man the label" Ikatolewa chupa pale ikamiminwa na watu wakaendelea kunywa huku wakicheck mpira.

Nikatamani ingekuwa inatangazwa serengeti pale!
 
mleta mada kaona hayo ndio matangazo ya kero? kuna ya kondom, kuna la zain-eti ingiza basi...! hayo na mengine hajayaona? jipange upya, bwanakaka


ndomana tupo hapa kupeana mawazo kuchangia so badala ya kulaumu ww wakilisha mkuu
 
Back
Top Bottom