ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
tunajali zaidi watoto mkuu
ndiyo maana nikakwambia dunia ya utandawazi ina mazuri na mabaya yake, we unapiga kelele matangazo internet je? hivi mtoto akitaka kitu atakosa kwenye internet?
sasa unazuiaje? hapo ndiyo challege ya sisi wazazi wa ujumla wake. kwa hiyo mtoa mada asishikirie matangazo ambayo mi naona si tatizo kubwa zaidi ya internet. ingawa mtu atasema watoto wangapi wana access ya internet makwao - lakini ambao hawana wanapewa story ya mambo yanavyokuwa, na kikawaida watoto wa rika moja wanaaminiana sana na kusikilizana. yule hana atawachukua wenzake awapitishe kwao wakaone wanachotaka.
So hili ni tatizo la ki- utandawazi, mtoto wa miaka 10 anajua hata process ya kuzaliana inakuwaje -
utandawazi hauzuiliki - na huwezi kuficha kitu na ndiyo maana wanakwambia anza kuongea na mwanao mapema. akiona tangazo la kama unampenda utamlinda - akiuliza mjibu jibu atakaloelewa kwa umri wake na ukimjibu HOVYO HOVYO ataenda kutafuta ushauri kwa marafiki zake shule.
its a challege to all of us - so what to do? u will never stop globalization my friend - never.