Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,305
- 772
Ni mdada mmoja hivi jirani yangu ni mzuri kwa kweli na kwa sasa yuko single, habari yenyewe iko hivi:
Nina watoto wawili wote wa kiume na wote wamefanana sana na mimi mchezo unaanzia hapo.Kwa kuwa ni mtani wangu kikabila na kwa wife pia ni hivyo hivyo maana mi na wife ni kabila moja, utani ukaanzia kwa wife kwamba.
Lazima na mi huyo mwanaume anipe mtoto anaefanana nae. Hayo na mengine mengi ya kiutani yalikuwa yanaendelea lakini wife hakuniambia cause alijua ni mambo ya utani tu.Juzi sasa Jumapili baada ya kutoka church ilipofika jioni nikaamua nikapate vibia vyangu viwili na ka nusu kilo ya kitimoto.
Bahati nae nikamkuta yuko pale tayari ameanza kupendeza kwa kinywaji maana anatokea mkoa ule wa watu wenye itikadi ya kujinyonga wakiudhiwa, nackia wako vizuri sana kwa kupiga kinywaji hawabagui.
Akaniona akanirukia akanikumbatia, tukaenda kukaa alipokuwa kakaa yeye ndio akaanza story sasa:- mtani mi nickufiche nataka nikuzalie mtoto mmoja maana huwa nafurahi sana nikiona jinsi unavyofanana na wanao.
Jana yote nimeshinda nawaza kuwa huyu ni jirani hivi itakuwaje nikimjaza mimba na mtoto akafanana na mimi, cku nzima ya jana tumeshinda ananisumbua mara anipigie mara massege za kuniuliza naendeleaje na kazi full usumbufu.
Wakuu hebu mniambie nimpe tu anachokitaka au.
Nina watoto wawili wote wa kiume na wote wamefanana sana na mimi mchezo unaanzia hapo.Kwa kuwa ni mtani wangu kikabila na kwa wife pia ni hivyo hivyo maana mi na wife ni kabila moja, utani ukaanzia kwa wife kwamba.
Lazima na mi huyo mwanaume anipe mtoto anaefanana nae. Hayo na mengine mengi ya kiutani yalikuwa yanaendelea lakini wife hakuniambia cause alijua ni mambo ya utani tu.Juzi sasa Jumapili baada ya kutoka church ilipofika jioni nikaamua nikapate vibia vyangu viwili na ka nusu kilo ya kitimoto.
Bahati nae nikamkuta yuko pale tayari ameanza kupendeza kwa kinywaji maana anatokea mkoa ule wa watu wenye itikadi ya kujinyonga wakiudhiwa, nackia wako vizuri sana kwa kupiga kinywaji hawabagui.
Akaniona akanirukia akanikumbatia, tukaenda kukaa alipokuwa kakaa yeye ndio akaanza story sasa:- mtani mi nickufiche nataka nikuzalie mtoto mmoja maana huwa nafurahi sana nikiona jinsi unavyofanana na wanao.
Jana yote nimeshinda nawaza kuwa huyu ni jirani hivi itakuwaje nikimjaza mimba na mtoto akafanana na mimi, cku nzima ya jana tumeshinda ananisumbua mara anipigie mara massege za kuniuliza naendeleaje na kazi full usumbufu.
Wakuu hebu mniambie nimpe tu anachokitaka au.