Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Niliwahi kusoma kitabu cha jamaa mmoja anaitwa Kainerugamba. Kati ya mambo mengne mwandishi alitoa orodha ya majina kumi ya watu wenye vyeti bandia (digrii hewa).Baadhi ya MAFISADI wa elim ni viongozi wakubwa serikalini mfano,. Makongoro Mahanga,Lukuvi,Mary Nagu,Kamalla,Diallo na Nchimbi. Pia TCU walitoa tamko na kuwataka walioandikwa wapeleke vyeti vyao TCU kwa uhakiki na udhibitisho wa uhalali au ubandia. Sasa wana JF,..yeyote aliye na taarifa ya TCU naomba anijulishe la hao TCU na pia walioandikwa walichukua hatua gani dhidi ya Msemakweli?. Asanteni sana!.