Kweli sijamuona leo... Babu DC upo?
Babu babu
babuuuuuu
Babu babuuuuuu
Babu huyo babuuu....
Jamani babu yenu DC hajambo? Mbona kimya?
mzima wewe? nimemiss sana kunyonya ma dia...huyu babu DC atakuwa kajitoa photocopy
maana mie kushoto kuna babu dc, kulia babu ODM, mbele babu byshernger afu ny..ma kuna kibabu rejao.
Sijui nidunfungue kambi ya kulea wazee?
Khaaa!..mzima wewe? nimemiss sana kunyonya ma dia...
Msimu wa kilimo umekaribia, Yupo anaandaa mashamba yake ya tumbaku, mie nampokelea madeni yake, vipi unataka kumlipa ile hela ulikopa mwaka jana?Babu babu
babuuuuuu
Babu babuuuuuu
Babu huyo babuuu....
Jamani babu yenu DC hajambo? Mbona kimya?
Nitonye hajambo?Msimu wa kilimo umekaribia, Yupo anaandaa mashamba yake ya tumbaku, mie nampokelea madeni yake, vipi unataka kumlipa ile hela ulikopa mwaka jana?
oooh...SL...mbona umeguna??Khaaa!..
Naona watu mmegaiana wababu humu ndan,ngoja nikajipange lzm nimpokonye kongosho mmoja,hawez kujilimbikizia mababu kiac hicho,ni ufisadi kbs ebo!
Msimu wa kilimo umekaribia, Yupo anaandaa mashamba yake ya tumbaku, mie nampokelea madeni yake, vipi unataka kumlipa ile hela ulikopa mwaka jana?
Wifi wewe tena? Hata usingesema lazima ningekutumia! Kakako mzima wa afya, anauliza vipi ile ratiba yako ya kututembelea this week end???My Wi 10% unitumie huku. Brada hajambo
oooh...SL...mbona umeguna??
Hajambo!Nitonye hajambo?
Ngoja tusubiri babu yenu aishiwe stock ya ugoro then atashuka mjini tutamuona.
mzima wewe? nimemiss sana kunyonya ma dia...
Ama wivu kama wa nyegere, sijui Nitty kaopoa dogodogo sasa anataka kumalizia hasira kwetu?!oooh...SL...mbona umeguna??
Jamani, najilia vyangu kwa umma na kisu ushtuke wewe. Inahu??!!Umenishtua Rejao!