Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
tehe! habari yako binafsi bana... me miss ya!
nzuri mkuu,mi miss you zaidi....nafurahi kukuona hapa!!!
tehe! habari yako binafsi bana... me miss ya!
Kwani uongo Sharo???
We umetamani avatar na sio mtu....sasa kwanini upewe mtu?!
Kiukwel mi sijaoa, na nikicheki hii avatar napigwa butwaa, mwili mzima ni kama umekufa ganzi,
kacheki utakachokiona niletee.
Cheusi kwa faida ya MMU rudisha ile signature yetu kwa muda.
pole kwa ganzi zinazokupata,
kuna siku niliiondoa hii avatar kuepuka mambo kama haya ila watu wakaandamana ikabidi niirudishe.
Bora umekuja mwenyewe! kuthibitisha yale yaliyoandikwa na BaK
pole kwa ganzi zinazokupata,
kuna siku niliiondoa hii avatar kuepuka mambo kama haya ila watu wakaandamana ikabidi niirudishe.
Cheusi mwenyewe! Hata siamin, heb nambie mwenyewe ndo ulivo? Mana sikufich avatar yako imebeba kila nnachotaka.
najua mkuu,hiyo avatar lazima utakuwa unaipigia puchu tu!
hapana babangu siko hivyo.